greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Nyie hamna lolote mnaloweza kulifanya zaidi ya kujificha nyuma ya keyboard..mngeonesha mfano kwenye yale maandamano aliyoyaanda mange kimambi mbona mlificha mkia na kupotea kusikojulikana.Hio imekula kwenu waulizeni Kama bado wapo nanyi mlibugi kuwaongozea mishahara miaka 5 mtageukwa na roho zenu Hadi msiamini.Kuwapa kuwapa vihela vidogovidogo wakubwa zao sio kuwamiliki wao.
Kwani wao wamepanga kuiba hats waanze kuwa na mashaka mapema?Lissu ameshaweka wazi tunataka uchaguzi huru na wahaki, hatutakubali kuibiwa kura zetu! Na amesema wakijaribu kuvuruga uchaguzi huu ataingiza watu barabarani! Tundu Lissu anawalaza watu na viatu
Tulia dawa ikuingienyie hamna lolote mnaloweza kulifanya zaidi ya kujificha nyuma ya keyboard..mngeonesha mfano kwenye yale maandamano aliyoyaanda mange kimambi mbona mlificha mkia na kupotea kusikojulikana.
Siku io ikifika sishangai ukaanzisha uzi wa matukio kwa picha kinacho endelea kwenye Maandamano ukiwa nyuma ya kibod ukiongoza uzi [emoji849][emoji2962][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chadem mnamikwala Sana nimeamin hata nyie ni mediocre
CCM waliogopa kushindwa mahakamaniUna akili kubwa sana. Vinginevyo sheria ya uchaguzi au katiba ingeruhusu mgombea kukata rufaa kama ataona hajaridhika na matokeo baada ya uchaguzi.