Wewe jidanganye hivyo hivyo tu........Kwa tume hii hii iliyosifiwa na dicteta kuwa inatenda haki usilitegemee hilo mkuu, kwa kura za wananchi atapita kwa kura nyingi sana, bt kwa mfumo uliopo sasa mbunge ni kitilya
Kuna mambo huwa yananichanga sana yaani sanaaKitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Foolish comment of the dayKitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Una kizungu kama cha MgufuliKitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Politics isn’t the normal way you do calculations, ina fomula zake, vinginevyo marais wote na mabunge yote yangejaa ma professa.Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Kitila ajiandae kwenda chekechea kushika chaki, maana pale kitivo hawezi pata nafasi tena!
Yule poropesa wa jalalani ataujua mziki wa ex mayor
Yule mama Mkurugenzi kaaibika vibaya sana.
Jitayarisheni na sababu mtakazozitoa, kwani huyu taniboy wenu Boni, atagaragazwa na kushindwa vibaya sana. Tnategemea kusikia Kura zimeibiwa nk...Kwaheri Kitila Mkumbo, kwaheri mamluki
Jimbo la Ubungo ni gumu sana kuiba hata wenyewe wanajua ndio maana walitaka Kitila asiwe na mpinzani.Jitayarisheni na sababu mtakazozitoa, kwani huyu taniboy wenu Boni, atagaragazwa na kushindwa vibaya sana. Tnategemea kusikia Kura zimeibiwa nk...
humjui Bonny , huijui Ubungo , nakuhurumia sana !Jitayarisheni na sababu mtakazozitoa, kwani huyu taniboy wenu Boni, atagaragazwa na kushindwa vibaya sana. Tnategemea kusikia Kura zimeibiwa nk...
Usinihurumie mimi, jihurumie mwenyewe, kwani unaparamia ukuta ulioanguka.humjui Bonny , huijui Ubungo , nakuhurumia sana !