Safi sana! Ningekasirika sana kama NEC ingemkata huyu mtu!
Huyu tutamfundisha sisi wanachi hapo oktoba 28 kwamba hii nchi haiendeshwi kwa shinikizo za amsterdam
Ballot box ni mkwaju toshaShibuda na Lipumba wanahaha kuvuruga uchaguzi ni vyema watu wawasake walipo wawatembezee kichapo cha mbwa koko waache mipango haramu ya kichawi
Nakuja aisee, nimevaa pullneck ya Chadema na kofia nyeusiNjoo bar yangu Riverside vinywaji bure! PM kwa complimentary voucher code.
Hahahaahaahaha Leo acha kabisa, Niko na raha sana sanaAcha ujinga bas mzee baba MATAGA
Mmebana mmeachia.. ngoja tuwapige miti sasaSafi sana NEC alikuwa ameshaanza kulialia sijui nipo holding room,apambane na dume la mbegu kutoka chato kwenye sanduku la kura sasa.
I'm the only candidate who toured the country, met with actual voters and got their endorsement in person. All other candidates obtained their nominators from NEC registers without having to meet actual voters. Yet I'm the only candidate whose nomination is still under a cloud! - LISSUMhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Tayari Mweshimiwa Tundu Lissu ambae ni mgombea urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form
UPDATE:-
Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
UPDATE:- 9:40
Mgombea wa CCM John Pombe Magufuli hakumali nusu saa kwenye Tume na fomu zake zimepokelewa, akateuliwa na kuondoka. Sisi wengine fomu zetu zinakaguliwa tangu saa sita mchana kwa utaratibu gani wa Sheria ya Uchaguzi na Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge? Upendeleo huu wa nini?
10:13
Kwa ajili ya kusimamia utaratibu wa kisheria, fomu za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA mhe. Tundu Lissu hazikupita kwa Wasimamizi wa Majimbo ya uchaguzi kwa ajili ya zoezi la uhakiki. Zoezi la uhakiki ndio linaloendelea kwa sasa.
UPDATE:- 1:00 Usiku
I'm the only candidate who toured the country, met with actual voters and got their endorsement in person. All other candidates obtained their nominators from NEC registers without having to meet actual voters. Yet I'm the only candidate whose nomination is still under a cloud! - LISSU
1:03 Usiku - NEC
Mgombea mwenza wa CHADEMA, Bw. Salumu Mwalimu akishuhudia zoezi la uhakiki wa fomu za uteuzi za chama hicho. Zoezi hilo linaendelea Ofisi za Tume, Njedengwa, Jijini Dodoma.
UPDATE: 1:40 - LISSU APITISHWA
Katibu wa tume ya uchaguzi amesema wagombea wa Rais na Naibu Rais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) wametimiza sifa na masharti ya uteuzi.
Baada ya tamko la katibu, Mwenyekiti amesema tume ya Taifa ya uchaguzi baada ya kujiridhisha kuwa kiti cha Rais na Makamu wa Rais waliopendekezwa na CHADEMA wametimiza masharti tume imewateua ndugu Lissu, Antipas kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na ndugu Mwalimu, Salum kuwa mgombea wa makamu wa kiti cha Urais wa Tanzania.
View attachment 1548033
Nina imani mpaka Pyjama na bedsheet la Chadema unalo!Nakuja aisee, nimevaa pullneck ya Chadema na kofia nyeusi
BoxerNina imani mpaka Pyjama na bedsheet la Chadema unalo!
Uzi huu unachangiwa na kusoma ile mbaya. KABLA ya masaa 24 kufika zaidi ya washiriki 1800 wameshasema yao.Safi sana.Niyeye woyoooooooooooooo
Pikipiki au?Boxer
Mwambie huyo boya Serikali hii haina uonevu kwa walemavu, wacha aje kwenye kampeni aone wananchi watakavyomshangaa huyu mwakilishi wa mabeberu anayetaka wanaume waoane sijui ataanza kuolewa yeye!!?Endelea kuwadanganya wapuuzi wenzie
WellMhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Tayari Mweshimiwa Tundu Lissu ambae ni mgombea urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form
UPDATE:-
Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
UPDATE:- 9:40
Mgombea wa CCM John Pombe Magufuli hakumali nusu saa kwenye Tume na fomu zake zimepokelewa, akateuliwa na kuondoka. Sisi wengine fomu zetu zinakaguliwa tangu saa sita mchana kwa utaratibu gani wa Sheria ya Uchaguzi na Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge? Upendeleo huu wa nini?
10:13
Kwa ajili ya kusimamia utaratibu wa kisheria, fomu za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA mhe. Tundu Lissu hazikupita kwa Wasimamizi wa Majimbo ya uchaguzi kwa ajili ya zoezi la uhakiki. Zoezi la uhakiki ndio linaloendelea kwa sasa.
UPDATE:- 1:00 Usiku
I'm the only candidate who toured the country, met with actual voters and got their endorsement in person. All other candidates obtained their nominators from NEC registers without having to meet actual voters. Yet I'm the only candidate whose nomination is still under a cloud! - LISSU
1:03 Usiku - NEC
Mgombea mwenza wa CHADEMA, Bw. Salumu Mwalimu akishuhudia zoezi la uhakiki wa fomu za uteuzi za chama hicho. Zoezi hilo linaendelea Ofisi za Tume, Njedengwa, Jijini Dodoma.
UPDATE: 1:40 - LISSU APITISHWA
Katibu wa tume ya uchaguzi amesema wagombea wa Rais na Naibu Rais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) wametimiza sifa na masharti ya uteuzi.
Baada ya tamko la katibu, Mwenyekiti amesema tume ya Taifa ya uchaguzi baada ya kujiridhisha kuwa kiti cha Rais na Makamu wa Rais waliopendekezwa na CHADEMA wametimiza masharti tume imewateua ndugu Lissu, Antipas kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na ndugu Mwalimu, Salum kuwa mgombea wa makamu wa kiti cha Urais wa Tanzania.
View attachment 1548033
Nakwambiaje mkuu, huyo hafui dafu, whatever lilomtokea, hawezi kupata kura majority, trust me. Utake usitakeEndelea kuota wewe
Mlitaka kumwua hakufa
Mkataka kumzuia kurudi nyumbani mkashindwa
Mmeshinda siku nzima ya leo mkipanga kumzuia asigombee mkashindwa
Sasa mnadhani mtamwibia kura...
This man is a hard nut to crack meeen, tulia tuwarudishe Chato mwezi wa 10, Uzuri tayari Dar mlishakimbia joto mmejificha Chamwino
Hahaha stroke imehamia kichwani, mnahamisha magoli mpaka basiDuuh afadhali kapita aisee ili tumpige fare and square.