Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Kaka hapa kichaa ni wewe, haujui hata unachoandika kama Magufuli unaandika Magufuri, halali unaandika harali uko sawa kweli, na kwa akili yako unadhani Lissu alitarajia Magufuli ataenguliwa?Mnafundishwa sheria kwa vitendo, next time watarekebisha sheria, na ndio lengo.

Mnakuwa wajinga wa kutafsiri hata sheria, ajabu wengine ni Judges pale tume, na Lissu ana Bachelor moja tu, lakini anawafanya wanaonekana wapuuzi mbele ya "wazamivu wa sheria".

Shukuru kupata mtu kama huyu.CCM pia wapo lakini wameamua kuwa waduanzi.

Kama wewe ulivyoamua,yani hata vitendo vya 'kibabe' kama vya kuengua wapinzani hakuna siku utasema kuna kosa.

Bakia hivyo hivyo halafu nenda msikitini au kanisani ukaseme Mungu kawateua, na wewe ni mja wake mpenda haki....

Hauwezi hata ku feel guilty kuwa kwa sababu za kijinga za tume na mipango yenu wameshakufa watu watatu ukerewe 1,Tunduma 2.
Hauoni kabisa kila jimbo wanasumbuliwa watu wa CDM kupokelewa form.

Jaribu kidogo kupenda haki, au labda hiyo siku ya uchaguzi mama yako auwawe bahati mbaya akiwa katika shughuli zake akikutana na vurumai la wizi wa masanduku ndio utarudia sense yako.

Ujinga wa wengi kama wewe kwa maslahi ya wang'ang'ania madaraka ndio umetufikisha hapa.

Tunataka free and fair election ashinde anaeshinda basi.
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] Nakazia.
 
Nawashauri Tume ya Uchaguzi wazungumze na Lissu na wahusiane naye kwa heshima, wakitaka kuendesha Uchaguzi kama Ndugai alivoendesha Bunge ama kama Magufuli anavoendesha Serikali bila kuzingatia Sheria za nchi watapata tabu sana..

Itafika siku ya Uchaguzi Tume wako hoi kwa sababu wataelezewa kuwa hawana Uadilifu wa kutosha kusimamia Uchaguzi, na Mgombea wa Tume pia ataelezewa kuwa Hana Uhalali wa Kisheria kushiriki Uchaguzi...

Yan kwenye Uchaguzi huu Mgombea wa Tume atakuwa kama Mwanafunzi anayehudhuria Lectures Chuo lakini Hana admission, au Basi ana admission lkn hajakamilisha Usajili...so anapoteza muda tu.

Hata akishinda Ushindi wake utapingwa mahakamani kuwa Hakuwa na Uhalali Kisheria kushiriki Uchaguzi, So ni Mgombea Fake.

Kufika Tarehe ya Uchaguzi Tume will be battered na Mgombea wa Tume atakuwa Rais dhaifu mno kiuhalali wa Mamlaka ya cheo chake Ikitokea akatangazwa kwa Lazima kuwa kashinda Urais, atakuwa kama Dr.Shwein katika Awamu yake ya 2.
 
Nawashauri Tume ya Uchaguzi wazungumze na Lissu na wahusiane naye kwa heshima, wakitaka kuendesha Uchaguzi kama Ndugai alivoendesha Bunge ama kama Magufuli anavoendesha Serikali bila kuzingatia Sheria za nchi watapata tabu sana..

Itafika siku ya Uchaguzi Tume wako hoi kwa sababu wataelezewa kuwa hawana Uadilifu wa kutosha kusimamia Uchaguzi, na Mgombea wa Tume pia ataelezewa kuwa Hana Uhalali wa Kisheria kushiriki Uchaguzi...

Yan kwenye Uchaguzi huu Mgombea wa Tume atakuwa kama Mwanafunzi anayehudhuria Lectures Chuo lakini Hana admission, au Basi ana admission lkn hajakamilisha Usajili...so anapoteza muda tu.

Hata akishinda Ushindi wake utapingwa mahakamani kuwa Hakuwa na Uhalali Kisheria kushiriki Uchaguzi, So ni Mgombea Fake.

Kufika Tarehe ya Uchaguzi Tume will be battered na Magufuli will be a Very Weak president, atakuwa kama Shein katika Awamu yake ya 2.
Huyo ndio Lissu kama Lissu
 
Ndio maana ccm hawataki tume huru wenyewe wanataka tumeccm
Kaka hapa kichaa ni wewe, haujui hata unachoandika kama Magufuli unaandika Magufuri, halali unaandika harali uko sawa kweli, na kwa akili yako unadhani Lissu alitarajia Magufuli ataenguliwa?Mnafundishwa sheria kwa vitendo, next time watarekebisha sheria, na ndio lengo.

Mnakuwa wajinga wa kutafsiri hata sheria, ajabu wengine ni Judges pale tume, na Lissu ana Bachelor moja tu, lakini anawafanya wanaonekana wapuuzi mbele ya "wazamivu wa sheria".

Shukuru kupata mtu kama huyu.CCM pia wapo lakini wameamua kuwa waduanzi.

Kama wewe ulivyoamua,yani hata vitendo vya 'kibabe' kama vya kuengua wapinzani hakuna siku utasema kuna kosa.

Bakia hivyo hivyo halafu nenda msikitini au kanisani ukaseme Mungu kawateua, na wewe ni mja wake mpenda haki....

Hauwezi hata ku feel guilty kuwa kwa sababu za kijinga za tume na mipango yenu wameshakufa watu watatu ukerewe 1,Tunduma 2.
Hauoni kabisa kila jimbo wanasumbuliwa watu wa CDM kupokelewa form.

Jaribu kidogo kupenda haki, au labda hiyo siku ya uchaguzi mama yako auwawe bahati mbaya akiwa katika shughuli zake akikutana na vurumai la wizi wa masanduku ndio utarudia sense yako.

Ujinga wa wengi kama wewe kwa maslahi ya wang'ang'ania madaraka ndio umetufikisha hapa.

Tunataka free and fair election ashinde anaeshinda basi.
Aende dalasani akafundishe sheria na sio kufundisha barabarani.
 
Tundu Lissu atawehuka mwaka huu wallah

IMG-20200827-WA0008.jpg
IMG-20200827-WA0010.jpg
IMG-20200827-WA0009.jpg
 
Hiyo 32(1)vifungu vidogo (b) and (c) vinataka majina ya wadhamini na namba za kadi za kupigia kura za wadhamini hao. Lisu hakuwa na proof yoyote kuonyesha kuwa hyo hsyskutekelezwa. kazi ya kutafuta wadhamini ndiyo kupata majina na namba zao. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuja na sababu hizo
View attachment 1549353
Kifungu cha 38(4) kifungu kidogo (b) k pamoja na kifungu cha 38(b) vinahusu uteuzi wa wagombea wa Ubunge, siyo wagombea wa urais.

View attachment 1549363
Picha za pasport za rangi zinaambatanishwa pamoja na form siyo kuwa zinabandikwa kwenye form.


Unaona jinsi watu wanavyotafsiri shera vibaya halafu wanaishia kulalamika kwenye internet muda wote
Nakupinga kwa sababu Lissu alikuwa na ushahidi kwa 100% as kama unavyojua kesi za Uchaguzi zinapaswa kuthibitishwa pasipo shaka hatutumii ile ya kwenye madai ya balance of probabablities
Kuhusu passport Lissu yeye alikuwa anatoa tafsiri ya picha ya passport kwamba mtu akionekana upande mmoja na sio macho na masikio ikitokea kapiga upande mmoja hiyo siyo passport size, ndiyo maana akasema Fomu za uteuzi hazijaambatanishwa na picha kwenye fomu za uteuzi, section 38(5) of cap 343 fomu hazijaambatanishwa na nyaraka zilizotajwa kwenye section 38(4)(B) cap 343 ambazo ni idadi ya picha 4 za Rangi za Passport as read in tandem with regulation 37(4)(a) of kanuni za uchaguzi wa wabunge na rais

Unataka tuende kwenye sheria nyingine ya tafsiri Cap 1?
Halafu tuende kwenye Rules of statutory interpretation?
 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.

Kwa mujibu wa Lissu, Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na mgombea uraisi Magufuli, akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).

Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki kwa maana ya kuhakiki wadhamini wake tofauti na mgombea Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani na wasimamizi wa majimbo na wakazigonga mihuru badala ya fomu hizo kuhakikiwa na NEC?

Hoja nyingine ya Lissu ni kuhusu siku ya kurudisha fomu ambayo ilikuwa ni jana, na ndio siku ambayo,kwa mujibu wa sheria, ilikuwa ni siku ya uteuzi. Sasa hao wagombea wengine licha ya fomu zao kuhakikiwa na watu wasiostahili kisheria,lakini bado ziliwasilishwa katika siku ambayo haikuwa siku ya uteuzi(kwa maelezo ya Lissu) na hilo,kwa mujibu wa Lissu, pia ni kukiuka sheria ya uchaguzi.

Lissu pia kaweka wazi kuwa kwa mujibu wa sheria,Tume wanaweza kutoa maelekezo, ila sheria hiyo hiyo inatamka kuwa maelezo hayo hayapaswi kuwa kinyume na sheria yenyewe.

All in all,wahusika wamepata funzo tena bila shaka ni funzo kubwa tu hasa kuhusu hizi sheria zetu..

Cha ajabu,wao katika kujibu, hawatufafanulii zaidi ya kusema tu wametupilia mbali na kwamba majibu yatatolewa kwa muweka pingamizi kwa maandishi.
Unataka ufafanuzi kama nani?
 
KUNA WANAODHANI KUWA RAISI ALIYEMADARAKANI HAWEZI WEKEWA PINGAMIZI,
LAZIMA TUPIME UADILIFU WA TUME
 
Picha za hivi mod wanazipenda kweli


 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.

Kwa mujibu wa Lissu, Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na mgombea uraisi Magufuli, akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).

Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki kwa maana ya kuhakiki wadhamini wake tofauti na mgombea Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani na wasimamizi wa majimbo na wakazigonga mihuru badala ya fomu hizo kuhakikiwa na NEC?

Hoja nyingine ya Lissu ni kuhusu siku ya kurudisha fomu ambayo ilikuwa ni jana, na ndio siku ambayo,kwa mujibu wa sheria, ilikuwa ni siku ya uteuzi. Sasa hao wagombea wengine licha ya fomu zao kuhakikiwa na watu wasiostahili kisheria,lakini bado ziliwasilishwa katika siku ambayo haikuwa siku ya uteuzi(kwa maelezo ya Lissu) na hilo,kwa mujibu wa Lissu, pia ni kukiuka sheria ya uchaguzi.

Lissu pia kaweka wazi kuwa kwa mujibu wa sheria,Tume wanaweza kutoa maelekezo, ila sheria hiyo hiyo inatamka kuwa maelezo hayo hayapaswi kuwa kinyume na sheria yenyewe.

All in all,wahusika wamepata funzo tena bila shaka ni funzo kubwa tu hasa kuhusu hizi sheria zetu..

Cha ajabu,wao katika kujibu, hawatufafanulii zaidi ya kusema tu wametupilia mbali na kwamba majibu yatatolewa kwa muweka pingamizi kwa maandishi.
Mjinga, usilazimishe na kimwanasheria chenu uchwara, mapingamizi ya kitoto ilimradi kuleta attention kwa watu.
 
Back
Top Bottom