HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 722
- 971
Kuna watu humu hata hawaelewi theories wala mifumo ya governance duniani ilivyo, wanataka waibue yao wao tu wanavyoona. Hili jukwaa sasa linaanza kuharibika kwa kweli, hakuna hoja tena ni utani, kejeli na maudhi tu. Michango ya kitoto imetawala jukwaa sasa, basi ni aibu tupu...