Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lisu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na Kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?

Tungependa kujua ni barua ya nini?maana inaonekana ni "msajili" ni barua ya nini na ni msajili wa nini?vyama au?
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lisu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na Kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
Aliyepeleka barua na pikipiki ni Msajili msaidizi wa vyama vya siasa.
Tume na msajili wanahusiana nini?
 
Kama kiongozi mkubwa Kama huyu anashindwa kutumia akili ndogo tu yakujilinda kwa uhai wake analazimishwa kufanya Mambo yakitoto hivi tunategemea Taifa litaendelea?

Mnamwogopa binadamu ambaye siku zake zakuishi hapa Duniani hazijui Kama Mimi na wewe tusivyozijua?

Mimi ningekuwa nimesoma nisingefanya huu ujinga wakudhalilisha familia yangu kwa kiwango hiki. Bora niishi kwa mihogo nikiwa huru kuliko huu utumwa.

It's sad hasa pale unapogundua huyu mwanaume ana mke kamwacha nyumbani, ana watoto kawaacha nyumbani.

Tunasoma kwa ajili ya nini Kama wasomi wenyewe ndo Hawa?

Tunaidhalilisha nchi kwa kweli
Atatumiaje akili wakati hizo akili hana
 
Nimeona video katika mtandao wa twitter, video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofisi za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa msajili msaidizi(sura inaonekana kwenye video akiongea na wakazi wa eneo hilo na wanaomtambua watamfahamu wakiona video hiyo) akihojiwa na mtu pembeni mwa barabara opposite na ofisi za chama husika akikiri kufika katika ofisi hiyo kwa bodaboda(utadhani ni comedy fulani ukiona hiyo video).

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa ni Msajili Msaidizi anapeleka barua katika ofisi za chama tajwa na kisha anahojiwa na raia mtaani na kukiri kufanya hivyo na kisha anaondoka na bodaboda.Hii ni sawa kwa ofisi kubwa kama hiyo kufanya mambo kama haya?

Hakika inashangaza sana!
 
Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa Msajili Msaidizi(sura inaonekana kwenye video akiongea na wakazi wa eneo hilo na wanaomtambua watamfahamu wakiona video hiyo) akihojiwa na mtu pembeni mwa barabara opposite na ofisi za chama husika akikiri kufika katika ofisi hiyo kwa bodaboda(utadhani ni comedy fulani ukiona hiyo video).

Kilichinishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa ni Msajili Msaidizi anapeleka barua katika ofisi za chama tajwa na kisha anahojiwa na raia mtaani na kukiri kufanya hivyo na kisha anaondoka na bodaboda.Hii ni sawa kwa ofisi kubwa kama hiyo kufanya mambo kama haya?

Hakika inashangaza sana!!
Muhimu ni barua imepokelewa!
 
Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa Msajili Msaidizi(sura inaonekana kwenye video akiongea na wakazi wa eneo hilo na wanaomtambua watamfahamu wakiona video hiyo) akihojiwa na mtu pembeni mwa barabara opposite na ofisi za chama husika akikiri kufika katika ofisi hiyo kwa bodaboda(utadhani ni comedy fulani ukiona hiyo video).

Kilichinishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa ni Msajili Msaidizi anapeleka barua katika ofisi za chama tajwa na kisha anahojiwa na raia mtaani na kukiri kufanya hivyo na kisha anaondoka na bodaboda.Hii ni sawa kwa ofisi kubwa kama hiyo kufanya mambo kama haya?

Hakika inashangaza sana!!

Mods msifute huu uzi watu wajue kinachoendelea vinginevyo wahusika wakanushe ingawa teyari sura ya muhusika iko wazi akiwa na tai yake.

Magari ya tume yambadilishwa namba na yanatumika kwenye kampeni za ccm. Jamaa kaona alinde mkate wake kwa kujiongeza. Ikabidi atumie Bodaboda
 
Back
Top Bottom