Tumeacha kutetea bandari zetu sasa tunatetea mwekezaji muislam, waziri muislam na rais muislam!

Wee mwislam?
Sasa kama mwananchi wachini hana maamuzi katika nnchi atafanya lipi wao ndio wapangaji na ndio wapanguaji sisi ata wakiuza nchi tutasubiri kuambiwa tuna hamia wapi
 
Na uarabu umegeuzwa uislamu. Hawa waarabu pamoja na uislaam wao walitutia waafrika utumwani na kutuuza kama wanyama. Walitutendea ukatili mbaya sana kinyume kabisa na maagizo ya uislaam na mtume wake. Leo wasituvuruge eti uislaam na waarabu ni kitu hicho hicho? Hapana.
Tutalinda bandari zetu waondoke huko.
 
Mbona nyie watu mna vichwa vigumu nani amewakataa DPW kinachokataliwa ni namna mkataba ulivyo.
Hii nchi una watu wa ajabu sana
Kwanza jifunze kutofautisha kati ya "MKATABA" na "MAKUBALIANO" au "MoU".
maana kama hujui tofauti ya maneno hayo huto elewa chochote, sio kosa lako, endelea kujifunza utaelewa.
 
Tujadilini mambo ya msingi mambo ya dini hayahusiki hapa. Tukigawanywa kwa misingi ya dini tutaibiwa kila kitu.
Sidhani kama ni sahihi kuacha kujikita kwenye contents na kuangalia suala gani limeletwa na mtu wa dini gani.

Dini yetu kubwa hapa iwe ni kuitetea Tanzania yetu. Dini tubaki nazo kama imani tu.
 
Na Ndio silaha pekee waliyobaki nayo watawala! Unfortunately ..it temporary and highly vulnerable risk🤔!
Hiki kitu kimepangwa...Ndio maana hata Haji Manara alipoongelea Sakata hili kwajicho la kikabila na kikanda hakuna aliyekemea!
 
Kwa hiyo Mkataba wa Bandari upo vizuri Kwa muktadha wa kiislam!
 
Yaan kuna wakati nafikia nachukia dini. Sio ya kiisalmu tu hata yangu ya kikristo. Naona kama zililetwa kutupumbaza hivi.
 
✔️✔️✔️✔️
 
😀😀😀. Mud weeee
 
Hapo ndio uone hapa wavaa kobazi ni watu wajinga haswaa
 
Dini ya kweli ni ukweli wenyewe ambao hauwezi kupatikana kwa asilimia 100 kwenye dini zetu.
Uhusiano wako na Mungu ni wa moja kwa moja na siyo lazima upitie dini.
Fikiria katika kweli na haki kwa faida yako, wananchi wenzako na taifa kwa ujumla.
 
Yaani CCM turufu ya mwisho kuzima suala la uuzaji wa bandari, ni kuchomekea UDINI, lakini wapi, suala ndo kwanza linapamba moto. Kinacholifanya lipambe moto ni pale walipoziengua bandari za Zanzibar zisiwemo, hivyo kutoa hasira kama mkataba huu ni mzuri kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo?
 
Hawa wamepewa kazi ya ujenzi siyo kudishiwa au kubinafisishwa
 
Hivi nyie mbugila hamuelewi kinacholeta utata? Hakuna anayekataa mwekezaji, kinachokataliwa ni masharti yaliyomo, mfano kama mkataba ni mzuri, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo kwenye mkataba huo? Kwani wao hawataki kunufaika? IBARA 4 (2) ya mkataba huu inasema endapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi, kwa Nini nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa mali zake? Mkataba wa Kenya una masharti hayo ya Kimangungo?
 
Mtatoka tu mafichoni na nia zenu ovu, yaani ni kama vile mnavyotetea na kufaidika na bandari ndio hivyo hivyo na wao wanataka kufaidika, jiulize kwanini maaskofu na mapadri wamejivika siasa na kulisemea hili tena ya uongo na uongo uliopindukia? Ili tu mafanikio yasije?
Imeisha hiyo tukutane tarehe 1/9

Nyie ni wadini kuliko, ila 2030 tutamuweka kiboko yenu ili mkome kabisa
 
hiyo ni hoja ya kitoto kabisaa, eti kwa kuwa znz hawajawekeza basi sisi bara tusikubali...ebo! sasa hiyo ni hoja ama utoto?! kwa hiyo kila kinacho wekezwa bara lazima kwanza znz nao wakubali kwanza?! hiyo ni hoja ya kitoto, watu wazima hatuwezi kupoteza muda kwenye hoja hiyo.

kilichopo kwa sasa na "Makubaliano" sio "makataba" hivyo mikataba itakapo sainiwa basi vipengele vya msingi vitazingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…