Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Kuna kaukweli hapa...ipo hata kwa wanawake kama anapata bwana sio mchaga kwao wanaleta ubaguzi.
 
Mimi mchaga na babangu ananikazia lazima nioe mchaga nikitaka kuoa.japo babangu ni muislamu pure alieshika dini



Ila mimi ni mchaga rebel sina kabisa mambo yao ya kichaga na nitaoa yoyote sitaki limit kwenye maisha yangu.
Hongera kwa kuwa Mwanaume badala ya Mvulana.
 
Shukru Mungu wachaga wabinafsi sn umeepushwa na mengi Mungu atakupa mwingine wa kufanana nawe
Kaka yangu m1 hivi anamiliki kiwanda flani hapa TZ, mkewe ni meneja mkuu ktk hicho kiwanda, basi huweziamini kajaza Wachaga tupu kwenye hicho kiwanda hadi wasio na CV na wakienda ndugu wa kaka yangu hata wakiwa na CV zote kuajiriwa ni kukataliwa mbele kwa mbele tu mpaka wakati mwingine ndugu hutamani hicho kiwanda kife.
 
Be strong, utampata alie sahihi kwako toka kabila lolote likiwemo hilo hilo la kichaga
 
Pole sana
 
Pole sana, uko sawa kuacha sehemu ambayo haina mwelekeo wa maisha...miaka mitano yote🤔🤔
Ipo siku utapata wako.
 
Hapo kwenye mizigo hapana, strictly Machame tu[emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa rangi na ngozi laini ni hapo Marangu mangi[emoji122][emoji122][emoji122]
Naona una uzoefu sana na hao wachaga na umenena vyema sana wala haujadanganya kabisa Chifu.
 
Tukiachana na mada ya huyu msichana.sisi si tunakaa na wachaga?

Ninawafahamu vzr Sana .

Nyie ni wabaguzi,wakabila,wezi,wenye roho mbaya na siku hiz wadada wenu wanajiingiza kwenye umalaya Sana kupitiliza
Nani kakuambia mimi ni mchagga?
 

i agree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…