Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Haya mapalestina ni bora muyaachage yaoane yenyewe kwa yenyewe tu...tena afadhali yako maana mwanaume ndo alikua mchaga ndo maana ukapata hata hiko kinafasi cha kutambulishwa ukweni
Mahusiano ambayo mwanamke ndo mchaga na mwanaume ni kabila jingine ndo yanakuwaga magumu balaa!!
Ni nadra sana mwanaume asiye mchaga (CHASAKA) kukubaliwa kuoa uchagani maana wanahofiaga kumpoteza member wa ukoo wao.
Kiufupi wachaga ni wabaguzi sana na wana ukabila kiwango cha SGR
mapalestina ndo wakina nani hao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
We nenda tu ila jua kuwa asili ndio huzaa ubaguzi, mtu Kama mtu sio mbaguzi ila asili yake ndio huleta kubagua. Wajaluo ni Kama wahaya, tofauti yao ni kuwa wajaluo Hawapendi mafanikio ya wengine. Wana wivu wa kizamani, wivu Negative!
mhh naomba ufafanuzi kwenye no 1. hapo ndg maana naelekea huko.
 
Hongera kwa maamuzi sahihi, usiogope kuanza upya na hujachelewa
 
Hamna kupatana hapo huyu mtu kazi yake humu JF nikunitukana tu kila post na I'd nyingine too much hate ningekuwa na bastola ningemu shoot ya kichwa Wala maana hajiheshimu kabisa
Duuuh...! Mungu akuongoze kwa hekima maana si kwa hapo ulipofikia Mama.
 
Tukiachana na mada ya huyu msichana.sisi si tunakaa na wachaga?

Ninawafahamu vzr Sana .

Nyie ni wabaguzi,wakabila,wezi,wenye roho mbaya na siku hiz wadada wenu wanajiingiza kwenye umalaya Sana kupitiliza
Pale Corner Bar sinza ukipick mzigo lazima uwe Changga, Dec wanarudi Moshi kwamba wametoka kutafuta pesa upcountry!!!
 
Back
Top Bottom