Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Unatambulishwa bila taratibu halafu huna tatizo na michepuko........Weak.
 
Haya mapalestina ni bora muyaachage yaoane yenyewe kwa yenyewe tu...tena afadhali yako maana mwanaume ndo alikua mchaga ndo maana ukapata hata hiko kinafasi cha kutambulishwa ukweni
Mahusiano ambayo mwanamke ndo mchaga na mwanaume ni kabila jingine ndo yanakuwaga magumu balaa!!
Ni nadra sana mwanaume asiye mchaga (CHASAKA) kukubaliwa kuoa uchagani maana wanahofiaga kumpoteza member wa ukoo wao.
Kiufupi wachaga ni wabaguzi sana na wana ukabila kiwango cha SGR
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Pole mkuu,
Hebu kunywa maji ushushe pumzi ndefu kisha upumzike kwenye kivuli.
 
We mwanamke embu kaa chini mshukuru mungu kwa kukutoa uko unakotaka kwenda inawezekana mungu kakuepushia jambo kubwa sana uko mbeleni, baba yangu alinambia usije ukaenda uko kaskazini kuoa kuna shida sana watu wa uko ni shida sana. Jaribu kutulia fanya mambo yako tafuta mtu sahihi ndoa so lele mama
 
Kiukweli kwa asilimia kubwa Wachaga wana umimi sana. Na si watu wa kuwaamini hata kidogo.
Niliwahi kuwa na rafiki Mchaga, yan tulipanga kufanya biashara fulani na nikachangia mtaji. Alichokuja kukifanya mhhhhh....
Kwa kweli Mungu anaweza akawa anamuepusha na jambo kubwa ambalo litamliza kuliko hili la sasa.
Unamuamini mchaga eti mchange Hela mfanye biashara jamani. Duu yaani wewe hukupata hata somo kidogo. Ukiona mchaga ana urafiki na wewe kuna kitu anakitafuta kwako ama unamzidi uwezo ila not otherwise.
 
Hakuna mtanzania asiye mbaguzi isipokuwa mgogo tu!!!!!! Na kabila linaloongoza kwa ubaguzi Tanzania ni WAHAYA!! Wakifuatiwa na wakurya kisha wachagga,
Fact wahaya n'a wachaga ni mwisho wa matatizo
 
Wachagga nao wa matatizo ya kiubaguzi huwa wanaoana wao kwa wao na wapare

Ni upuuzi sana
 
Aiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Pole mkuu. Nawajua sana hata ile kununua tu dukani kwako kama sio ndugu yao ni kazi. Kuna muda Nilikuwa nataka kununua vifaa vya kumalizia nyumba Yangu. Nikaenda hapa hardware shops hapa rwagasore Mza, sasa bana nikazama duka moja ivi Kumbe ni mangi. Nikachomoka fasta nikapeleka Hela kwa msukuma.
Hawa dawa yao ni kutonunua hata madukani kwao tuwatenge tuwe na umoja wetu mana wao wanajiona ni another level
 
Usilete uongo humu... Mhaya na mkurya hawana sifa za ubaguzi labda Kama unataka TU kuchangamsha genge
Nili cho gundua hapa nchini watu wengi wana chuki na wahaya kwa umbeya tu wakusikia wengi hawajaka nao ila wanawasema vibaya kwanini? Wahaya hawajawahi kua wabaguzi isipo kua sana lugha na utamaduni wao sio wachoyo isipo kua wanathamani mali zao.....
 
Nilicho gundua hapa nchini watu wengi wana chiki na wahaya kwa umbeya tu wakusikia wengi hajakaa nao ila wanawasema vibaya kwanini? Wahaya hawajawahi kua wabaguzi isipo kua sana lugha na utamaduni wao sio wachoyo isipo kua wanathamani mali zao.....
Kweli kabisaaa Mkuu... Wahaya Ni watu pouwa sana...
 
Hata huyo atamwacha kisa ni mchaga wa machame.

Baadae atamwacha mchaga wa Rombo kwa sababu ni Ukoo wa Shirima.

Guys hatima ya maisha yako ya baadae kwa maana ya mahusiano unayo wewe, sio ndugu, rafiki wala wazazi. Kuta nne ndizo zitakuwa shahidi wa maisha yenu. Wake up guys!!
Hili tatizo za ukabila katika mahusiano,limekubuhu Sana kwa wachaga na wahaya.
 
Haya mapalestina ni bora muyaachage yaoane yenyewe kwa yenyewe tu...tena afadhali yako maana mwanaume ndo alikua mchaga ndo maana ukapata hata hiko kinafasi cha kutambulishwa ukweni
Mahusiano ambayo mwanamke ndo mchaga na mwanaume ni kabila jingine ndo yanakuwaga magumu balaa!!
Ni nadra sana mwanaume asiye mchaga (CHASAKA) kukubaliwa kuoa uchagani maana wanahofiaga kumpoteza member wa ukoo wao.
Kiufupi wachaga ni wabaguzi sana na wana ukabila kiwango cha SGR
Usiwasahau wahaya 😂😂
 
Nafikiri tatizo hapo sio uchaga ingekuwa hivyo asingekupeleka kwao, cha msingi kwako sasa hivi ni kutuliza akili, upate muda wa kukaa na marafiki ili kusahau yaliyotokea
 
Hili tatizo za ukabila katika mahusiano,limekubuhu Sana kwa wachaga na wahaya.
Ni kwasababu ya utamaduni wao wanamufuata na kuheshimu, wewe kama sio mhaya utamaduni wao utakupa shida sana labda mishi mjini tu bila kusogeza ndgu na jamaa
 
Back
Top Bottom