Tumechoka wananchi wa Karagwe na mamlaka za TANESCO pamoja na TCRA

Tumechoka wananchi wa Karagwe na mamlaka za TANESCO pamoja na TCRA

A

Anonymous

Guest
Kutoka Rwambaizi Karagwe Kagera wananchi tumekuwa tukiteseka Sana kwanza kuna swala vocha wenye maduka wamekuwa wakijapangia Bei za vocha ya sh 500 wanaiuza kuanzia 600 hadi 700 tunaomba Jamiiforums mtupazie sauti watanzania kwa mamlaka husika.

Pili swala la umeme wamekuwa wakikata umeme wanavyojisikia bila ya wananchi kupewa taarifa yeyote na kwa siku wanaweza kukata umeme zaidi ya mara 5 tunaomba pia mtusaidie kuhoji
 
Kutoka Rwambaizi Karagwe Kagera wananchi tumekuwa tukiteseka Sana kwanza kuna swala vocha wenye maduka wamekuwa wakijapangia Bei za vocha ya sh 500 wanaiuza kuanzia 600 hadi 700 tunaomba Jamiiforums mtupazie sauti watanzania kwa mamlaka husika.

Pili swala la umeme wamekuwa wakikata umeme wanavyojisikia bila ya wananchi kupewa taarifa yeyote na kwa siku wanaweza kukata umeme zaidi ya mara 5 tunaomba pia mtusaidie kuhoji
Pole sana Mutabazi wacha na Mimi nikutetee Sasa .

Nyie TANESCO na nyie wenye maduka kwanini kuwafanyia hivyo watu wa Rwambaizi ? Sasa imetosha badilikeni haraka
 
Back
Top Bottom