Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Timu Ronaldo walipiga kelele nyingi sana ndani ya miaka hii michache iliyopita hadi tukaona tuwaache tu, sasa leo hii pumba na mchele vimejitenga hakika sasa wote tunaongea lugha moja.

Wakati Cr7 akiwa kwenye sofa na remote sitting room nyumbani kwao mwenzake huko Qatar anaibeba timu yake kwenda Fainali za Kombe la Dunia.

Tumekuwa tukiwaambia huyu ndiye La Pulga kiumbe toka sayari nyingine na baado yupo sana tu!

Mwamba huyu hapa.

2022-12-03T203303Z_566723545_UP1EIC31L317R_RTRMADP_3_SOCCER-WORLDCUP-ARG-AUS-REPORT.jpg


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Lakini huwez kufanya huo Ulinganishaji ..
CR ni Messi + 3 Age.

CR at his Prime na Leon at his Prime ilikuwa haieleweki who is the be/t.

Lakin walikuwa wakipishanapishana katika ubora. Ni best players kwa miaka 15 iliyopita.

Ni jokes kumdharau CR kwa kiwango cha sasa. Umri umeshamchapa kaka
 
Messi yupo class ya peke yake, an exceptional player.

Halafu ndio wale wengine wajipange akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldinho, Ronaldo de lima, Christiano Ronaldo, Beckeunbauer, di Stefano, Platini nk
 
Kajamaa kanajituma sana, ushindi wa jana kahusika kwenye magoli yote 3. Pamoja na juhudi binafsi za dogo Alvarez kwenye goli la pili, lakini pasi ya mwisho ilitoka kwa lapulga. La mwisho assist ni la pulga la kwanza mchizi tena, aisee.

Jamaa anaupiga mwingi.
 
Kajamaa kanajituma sana, ushindi wa jana kahusika kwenye magoli yote 3. Pamoja na juhudi binafsi za dogo Alvarez kwenye goli la pili, lakini pasi ya mwisho ilitoka kwa lapulga. La mwisho assist ni la pulga la kwanza mchizi tena, aisee.

Jamaa anaupiga mwingi.
Sanaaaa
 
Back
Top Bottom