Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Wengi ambao huwa tupo upande wa CR7 huwa tunalijua hilo ila ni mapenzi tu

Ni kama kuna watu tupo kwenye ukiristo lakini tunajua dini ya kweli ni uislam

Kuna siku nilikuwa nawaonesha madogo crip za youtube za Ronaldo na Messi baada ya madogo kumaliza kuangalia wakaniambia Messi ni balaa sana,wakaniuliza watu wanaosema Cr7 ni mkali huwa wanaangalia nini,niliumia moyoni ila nilipiga kimya tu
 
Messi atakuwa akili yake haiwezi kupembua mambo au sio mfuatiliaji.... (wakati ananyonya watu walikuwa wanauguza ankle zao na magoti na majeraha kadhaa) In short Pele angeweza kucheza leo (technically gifted) lakini kipindi hicho ulihitaji kuwa na nguvu za ziada (Messi ofcourse ana nguvu ila asingecheza mechi nyingi kama anazocheza leo) injuries...

Hivi unajua kipindi cha kina Pele Striker alikuwa hapewi favor (unapigwa buti mpaka unashangaa) bila nguvu usingeweza kucheza..., Leo Messi ni multi million asset akiumia siku chache sponsors wanapoteza pesa, hivyo refeers wanamlinda akiguswa tu basi...

Kipindi kila beki anakupiga kiatu au hata ukizubaa unapigwa kichwa na pepsi za kutosha..., unadhani kina Messi wangecheza kipindi hicho... huo mwili wake tu angekuwa anawekewa majamaa mawili yaliyoshiba akitoka hapo miguu imevimba.... tena acha kipindi cha kina Pele hata kipindi cha 1990 kina Maradona hebu cheki hapa Cannigia alivyopigwa kiatu (refa anapeta tu) leo hii mtu angejirusha apewe penalty...


Hatuwezi kubishana masuala sjui huyo Pele , mara sjui Maradona mara Delema mara sjui Nani , wengine mtajifanya wahenga humu , ooh Pele ilikuwa hv , the best way ni kuangalia data na mafanikio baaasi , tutalinganisha mafanikio ya Pele , tuzo na mafanikio ya Mesi pamoja na tuzo , hayo mengine ni mbwembwe tuu
 
Messi yupo class ya peke yake, an exceptional player.

Halafu ndio wale wengine wajipange akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldinho, Ronaldo de lima, Christiano Ronaldo, Beckeunbauer, di Stefano, Platini nk
Acha kumlinganisha Fenomeno 9 na vitu vya kijinga we jamaa.
 
Ronaldo dream ya kushinda WC haijaisha, anaweza kua kocha pia ana mtoto ni baller pia.

Between Messi and Ronaldo I will choose Ronaldo maana kafanikiiwa in side na outside ya sport.

Ukitoa ma Mipira Messi wako ana nini cha kututambia😄😄
 
Ronaldo dream ya kushinda WC haijaisha, anaweza kua kocha pia ana mtoto ni baller pia.

Between Messi and Ronaldo I will choose Ronaldo maana kafanikiiwa in side na outside ya sport.

Ukitoa ma Mipira Messi wako ana nini cha kututambia😄😄
Duuh uko serious kabisa unauliza hili swali??
 
Yas maana kwa influence Ronaldo yupo top, kwa investment yupo top

Ongezea kingine

Afu ni handsome anakuzid hata wewe😄😄 muachen baba wa watu , aliyofanya yanamtosha yeye na familia yake.
Duuh uko serious kabisa unauliza hili swali??
 
Sikatai Messi ana play good ball ila haileti maana kumlinganisha na ronaldo kkla mtu n mzuri akisimama kivyake

Btn am not a Messi fan.
Duuh uko serious kabisa unauliza hili swali??
 
Yas maana kwa influence Ronaldo yupo top, kwa investment yupo top

Ongezea kingine

Afu ni handsome anakuzid hata wewe😄😄 muachen baba wa watu , aliyofanya yanamtosha yeye na familia yake.
Kwa jinsi swali lao ulivyoliweka ni kama messi hana kitu zaidi ya talanta yake.

Umaarufu wa Ronaldo unaelekea kupungua sio mda mrefu, akitimka vilabu vikubwa vya ulaya ndo basi tena.
Ukwasi wote wana ukwasi ndgu, hao sio kama kiba na mondi (wazee wa fake life) hao wote fuba wanazo.

Hiyo angle huwa haiguswi na wanamichezo coz inajulikana wote fuba wanazo.. Ndio maana nikashangaa wewe kugusia huko.

Labda kwasababu wewe ni jinsia ke!!
 
Pale mtu anapoona ameshindwa kubishana kwa facts badala yake anaanza kugusia personal issues [emoji23]
Nimemshangaa kusema messi hana kitu nje ya mpira!!
Huenda si mfuatiliaji wa hawa wachezaji.
Anampenda Ronaldo (kimahaba zaidi) na sio kimichezo.
 
Personal issue kiaje, hapa tunaangalia mafanikio kimpira kiujumla,
Mafanikio kimpira ndo kama hayo ya messi kucheza fainali za world cup kitu ambacho ronaldo hajawahi hata kufika nusu fainali, mafanikio kimpira ndo kama hizo ballon d'or .

Unachanganya mafanikio nje ya mpira na ya mpira. Ukiangalia comments za wadau huko juu wanamtaja sana Ronadinho (Gaucho) kua nae alikua bora, lakini mwamba wala hakua na ukwasi kama wa hii miamba miwili. Ila wanatumia kigezo cha ubora ndani ya pitch na sio umaarufu na ukwasi nje ya uwanja, sawa bibie.
 
Nimemshangaa kusema messi hana kitu nje ya mpira!!
Huenda si mfuatiliaji wa hawa wachezaji.
Anampenda Ronaldo (kimahaba zaidi) na sio kimichezo.
Sijasema hana kitu anavyo Yes ila Ronaldo ndio yupo on top
 
Hatuwezi kubishana masuala sjui huyo Pele , mara sjui Maradona mara Delema mara sjui Nani , wengine mtajifanya wahenga humu , ooh Pele ilikuwa hv , the best way ni kuangalia data na mafanikio baaasi , tutalinganisha mafanikio ya Pele , tuzo na mafanikio ya Mesi pamoja na tuzo , hayo mengine ni mbwembwe tuu
Tuzo za Pele na Messi zipoje ?

Hivi unajua Timu za Ulaya zilikuja kumnunua Pele..., Lakini Serikali ya Brazil kuona hivyo Star anaweza kuondoka ikamfanya Pele nyara ya Serikali / Nchi hivyo hawezi kuuzwa ?

Acha ku-simplify mambo kijana...., Huyu Pele anayeshikilia rekodi ya kijana mdogo mpaka leo kufunga katika World Cup alikuwa pia ni mtu mweusi kipindi cha ubaguzi..., alifanya mambo kule Sweden hadi mabinti / mashabiki wa Sweden wakaanza kumshangilia....., na hayo yote bado ali-keep his head straight / professionalism tofauti na Kina Diego walioshawishika kwenda astray (when you talk about football the guy is the beauty in the Beautiful Game..., kama Vile Bob anavyo-define Reggae) yaani hata Edson Arantes do Nascimento ni vehicle tu ya kumbeba PELE and he has done great kwa kumfikisha hapa leo bila any scandals Ni Ambassador of Football; Role Model and Genius all in one)
 
Back
Top Bottom