Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Sio dhambi, lakini angefanya hivyo CR7 angeitwa Penaldo ila kwa Messi hawezi kuitwa Penssi kama dhihaka ambayo angedhihakiwa RonaldoKwan ni dhambi kufunga penalt?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dhambi, lakini angefanya hivyo CR7 angeitwa Penaldo ila kwa Messi hawezi kuitwa Penssi kama dhihaka ambayo angedhihakiwa RonaldoKwan ni dhambi kufunga penalt?
Basi tufanye mchezaji bora ni Ronaldo kabisaPenati 4 angekuwa CR7 mngemwita Penaldo. Kiukweli kwenye mashindano haya mchezaji bora zaidi ni Mbape.
Acha Uvivu sio lazima uwepo kipindi hicho ? unadhani mimi nilikuwepo 1958..., angalia videos angalia vipi mpira umebadilika angalia bias ya kipindi hicho n.k. Huwezi ukaongelea Greatest of All time alafu Ukachagua Time za kufanya huo uchambuziWe jamaa unaongelea past,most of us hatukuepo kipindi Cha Pele . Now tunamuona mchezaji Bora before our eyes, NOW. Messi tunamuona NOW kwenye hiki kizazi chetu mnashindwa kumu enjoy NOW Kwa kuletea story za Pele,kweli? Messi mpira upo kichwani brother,he is 35 lakini anacheza kama mara ya kwanza nilipomuona. Ronaldo anajituma na alikua fit,now hayupo fiti ndio maana kiwango kimepungua ila Messi mpira upo kichwani mwake,mwili wake ni kama means tu lakini mpura wote anaucheza kichwani.
Nashkuru nipo kwenye wakati huu the GOAT yupo,ipo kizazi kitakuja kumuongelea huyu mtu kama wewe unavomuongelea Pele. Messi sio mchezaji wa kumuongelea anacheza vp,ni mchezaji wa kumuangalia anavocheza na kuenjoy soka lake. Nikimuangalia Messi hua na enjoy bila hata ya kufunga au kUfanya assist. Messi is just Messi Hana description.
Jaribu kuongea na FIFA wafute records zake au Youtube waondoe Videos zake.., umeongelea Stats nimekupa Stats sasa unataka nini ?Mnakuza mno huyo Pele ili kumdunisha Messi..
Tatizo la wabongo Kuna ugonjwa fulani unatusumbua.Yaan mtu akifunga goli au akicheza vizuri ,atapewa sifa zote kama vile hatujawahi kuona wachezaji wengine wazuri.Hata hapa nyumbani tu.Kuna mchezaji anaitwa Chama au Morrison wakicheza vizuri yaan sifa zinakuwa nyingi sana kuliko mchezaji mwenyewe.Utasikia hapa bongo haijawahi kutokea mchezaji Kama huyu.Yaan upumbavu mtupu.So far sijaona ubora wa Messi .Yaan ni Kama kubahatisha tu.Ukiwaona Croatia ni wazuri sana kuliko Messi na Argentina.Aidha kwa umri wangu nimeona Maradona akicheza mpira.Sioni Kama Messi anamfikia.Kama Messi ndio bora basi tumerudi nyuma sana.Timu Ronaldo walipiga kelele nyingi sana ndani ya miaka hii michache iliyopita hadi tukaona tuwaache tu, sasa leo hii pumba na mchele vimejitenga hakika sasa wote tunaongea lugha moja.
Wakati Cr7 akiwa kwenye sofa na remote sitting room nyumbani kwao mwenzake huko Qatar anaibeba timu yake kwenda Fainali za Kombe la Dunia.
Tumekuwa tukiwaambia huyu ndiye La Pulga kiumbe toka sayari nyingine na baado yupo sana tu!
Mwamba huyu hapa.
View attachment 2445987
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Duh ungeongelea Poacher kama kina Owen ambao wanakaa mbele na ku-poach magoli ningekuelewa ingawa offside rules zimebadilika sio necessarily kwa advantage ye defenders kumbuka pele alikuwa anatoka na mpira kutokea kati (yaani ana-drop) pia Pele alikuwa man marked (yaani zile wanasema huyu tumekukabidhi hata akienda kunywa maji nenda nae) man to man marking...Pele alifunga magoli mengi ya offside
Kwani penalty sio magoli kawaulize wachezaji wa japan, spain na Brazil wakuambie jinsi ilivyo kazi kuzifunga hizo penalty.Magoli matano aliyofunga messi manne ni penalty
Kina Owen angalau Sheria ya offside ilikuwepo...wakati wa Pele hata offside haikuwepo ...alijifungia migoli teleDuh ungeongelea Poacher kama kina Owen ambao wanakaa mbele na ku-poach magoli ningekuelewa ingawa offside rules zimebadilika sio necessarily kwa advantage ye defenders kumbuka pele alikuwa anatoka na mpira kutokea kati (yaani ana-drop) pia Pele alikuwa man marked (yaani zile wanasema huyu tumekukabidhi hata akienda kunywa maji nenda nae) man to man marking...
Pele was a Complete Player tofauti na wengine wana weaknesses... (yeye ni dribbler, yupo fit left / right leg, na headers) vile vile ana pace... ngoja hapo chini nikupe article alivyonunuliwa na Cosmos nitaku-tag....,
Ukishakuanna wivu huwezi kuona maajabu ya mtu, mana umetanguliza chuki mbele badala ya uhalisia.Tatizo la wabongo Kuna ugonjwa fulani unatusumbua.Yaan mtu akifunga goli au akicheza vizuri ,atapewa sifa zote kama vile hatujawahi kuona wachezaji wengine wazuri.Hata hapa nyumbani tu.Kuna mchezaji anaitwa Chama au Morrison wakicheza vizuri yaan sifa zinakuwa nyingi sana kuliko mchezaji mwenyewe.Utasikia hapa bongo haijawahi kutokea mchezaji Kama huyu.Yaan upumbavu mtupu.So far sijaona ubora wa Messi .Yaan ni Kama kubahatisha tu.Ukiwaona Croatia ni wazuri sana kuliko Messi na Argentina.Aidha kwa umri wangu nimeona Maradona akicheza mpira.Sioni Kama Messi anamfikia.Kama Messi ndio bora basi tumerudi nyuma sana.
Ukiwauliza uyo Messi ukitoa Goli za penati za kupewa kafanya kitu Gani zaidi ya hapo watakwambia anapiga chenga sana uwanjani Messi imefika time anapiga chenga hadi anadondoka mwenyewe kitu alichobakinayo Messi Kwa Sasa ni uwezo wa kuficha mpira tu ila speed,Goal score ,assist kashuka sana kama Kuna mtu anajua mpira apa aje tumpe takwimu za Messi Toka 2004Tatizo la wabongo Kuna ugonjwa fulani unatusumbua.Yaan mtu akifunga goli au akicheza vizuri ,atapewa sifa zote kama vile hatujawahi kuona wachezaji wengine wazuri.Hata hapa nyumbani tu.Kuna mchezaji anaitwa Chama au Morrison wakicheza vizuri yaan sifa zinakuwa nyingi sana kuliko mchezaji mwenyewe.Utasikia hapa bongo haijawahi kutokea mchezaji Kama huyu.Yaan upumbavu mtupu.So far sijaona ubora wa Messi .Yaan ni Kama kubahatisha tu.Ukiwaona Croatia ni wazuri sana kuliko Messi na Argentina.Aidha kwa umri wangu nimeona Maradona akicheza mpira.Sioni Kama Messi anamfikia.Kama Messi ndio bora basi tumerudi nyuma sana.
Sijavutiwa na uchezaji wa Argentina wala Messi.Tulishaona mechi nyingi sio huo utoporo eti pia kusifia.Mechi ya Diego Amandus Maradona anawapiga German 1986.Anapiga chenga wachezaji Kama watano wa ujerumani huku akiwa kasi.Acha bhana.Ukishakuanna wivu huwezi kuona maajabu ya mtu, mana umetanguliza chuki mbele badala ya uhalisia.
Hapo Croatia kuna mchezaji gani ambaye anafikia hata uwezo robo wa messi, zaidi kukamia kwenye kukaba?
Ungekua unaangalia mpira kweli ungeona hata Argentina kweli hawana team yenye wachezaji talented kama baadhi ya mataifa ila wanabebwa na uwepo wa Messi uwanjani.
Ronaldo hajadharauliwa kaka, Ronaldo ni mchezaji bora ila Messi ni mchezaji bora zaidi ya RonaldoLakini huwez kufanya huo Ulinganishaji ..
CR ni Messi + 3 Age.
CR at his Prime na Leon at his Prime ilikuwa haieleweki who is the be/t.
Lakin walikuwa wakipishanapishana katika ubora. Ni best players kwa miaka 15 iliyopita.
Ni jokes kumdharau CR kwa kiwango cha sasa. Umri umeshamchapa kaka
Mkuu Ofside rule ingewafavor kina Owen goal Poachers Owen ana skill moja tu ya Pace kwahio kabla ya pass anakuwa nyumba ya defender alafu anarudi ndani (onside) alafu ana-burst kwa pace (hio trick wamefanya sana kina Ruud van Nistelrooy) Ingawa pele hakuwa a target man bali anashuka na kufuata kupokea mpira....Kina Owen angalau Sheria ya offside ilikuwepo...wakati wa Pele hata offside haikuwepo ...alijifungia migoli tele
Ila hapo pa chama inabidi ufute kauli yakoTatizo la wabongo Kuna ugonjwa fulani unatusumbua.Yaan mtu akifunga goli au akicheza vizuri ,atapewa sifa zote kama vile hatujawahi kuona wachezaji wengine wazuri.Hata hapa nyumbani tu.Kuna mchezaji anaitwa Chama au Morrison wakicheza vizuri yaan sifa zinakuwa nyingi sana kuliko mchezaji mwenyewe.Utasikia hapa bongo haijawahi kutokea mchezaji Kama huyu.Yaan upumbavu mtupu.So far sijaona ubora wa Messi .Yaan ni Kama kubahatisha tu.Ukiwaona Croatia ni wazuri sana kuliko Messi na Argentina.Aidha kwa umri wangu nimeona Maradona akicheza mpira.Sioni Kama Messi anamfikia.Kama Messi ndio bora basi tumerudi nyuma sana.
Jana nilikuwa nacheki mpira, kuna muda wachezaji wa Croatia walikuwa wanakabwa na watu wawili mpaka watatuDuh ungeongelea Poacher kama kina Owen ambao wanakaa mbele na ku-poach magoli ningekuelewa ingawa offside rules zimebadilika sio necessarily kwa advantage ye defenders kumbuka pele alikuwa anatoka na mpira kutokea kati (yaani ana-drop) pia Pele alikuwa man marked (yaani zile wanasema huyu tumekukabidhi hata akienda kunywa maji nenda nae) man to man marking...
Pele was a Complete Player tofauti na wengine wana weaknesses... (yeye ni dribbler, yupo fit left / right leg, na headers) vile vile ana pace... ngoja hapo chini nikupe article alivyonunuliwa na Cosmos nitaku-tag....,
Tatizo Umri tu umeshusha kidogo ubora, yule Messi wa 2008-2013 alikuwa hatari mno.Ukiwauliza uyo Messi ukitoa Goli za penati za kupewa kafanya kitu Gani zaidi ya hapo watakwambia anapiga chenga sana uwanjani Messi imefika time anapiga chenga hadi anadondoka mwenyewe kitu alichobakinayo Messi Kwa Sasa ni uwezo wa kuficha mpira tu ila speed,Goal score ,assist kashuka sana kama Kuna mtu anajua mpira apa aje tumpe takwimu za Messi Toka 2004
Hapana, mpaka sasa goli za Ronaldo ni nyingi kuliko za Messi.Kwani penalty sio magoli kawaulize wachezaji wa japan, spain na Brazil wakuambie jinsi ilivyo kazi kuzifunga hizo penalty.
Huyo GOAT wako Ronaldo kwenye carrier yake amefunga magoli mengi ya penalty kuliko messi na bado kazidiwa magoli.