Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Zamani nilikuwa najua messi ni bora kuliko ronaldo
Mpaka nilpomtazama ronaldo na nikagundua kuwa

NILIKUWA sawa kabisa
 
Safari hii afe mtu...messi anaongoza kwenye records za argentinians kama the late armando diego
 
ubishani wa messi na Ronaldo ulishaisha tangu 2012 messi alipomliza Ronaldo hadharani kwa kutwaa Ballon Do'r 4
 
Lakini huwez kufanya huo Ulinganishaji ..
CR ni Messi + 3 Age.

CR at his Prime na Leon at his Prime ilikuwa haieleweki who is the be/t.

Lakin walikuwa wakipishanapishana katika ubora. Ni best players kwa miaka 15 iliyopita.

Ni jokes kumdharau CR kwa kiwango cha sasa. Umri umeshamchapa kaka
Ktk umri kama huu alikuwa wapi? Na katika kipindi hiyo unaita prime walikuwa wana lingana umri??
 
Penati 4 angekuwa CR7 mngemwita Penaldo. Kiukweli kwenye mashindano haya mchezaji bora zaidi ni Mbape.
Amekuwa mchezaji bora mara ngapi ktk kila mechi alizocheza? WC hii 2022

Ame saidia wenzie pasi za mwisho za magoli mara ngapi? WC hii 2022

Magoli wana lingana, bila kujali penati zilizo pigwa...
 
CR7 walishamchukia kitambo sana, mpango uliobaki ilikuwa ni kumtoa kwenye mafanikio... Na hilo wameweza
 
Kina Owen angalau Sheria ya offside ilikuwepo...wakati wa Pele hata offside haikuwepo ...alijifungia migoli tele
Ebu cheki hapo baadhi ya magoli ya Pele..., hapo hakuna goal poaching hata moja ? Ni kwamba Pele alikuwa anatumia muda mwingi nje ya D

 
Ebu cheki hapo baadhi ya magoli ya Pele..., hapo hakuna goal poaching hata moja ? Ni kwamba Pele alikuwa anatumia muda mwingi nje ya D


Tukuletee magori ya kibabe ya Messi , magori 100 sio 10 ??? Tatizo huwa mnakalili
 
Hakuna mtu bora mmoja duniani. Kila mmoja na ubora wake kwa namna yake. Ndio mana binadama hatufanani.
They say messi is natural while cr7 is trained machine regardless wote wanafanya vizuri. Kama messi angekua bora kuliko cr7 bas wasingemlinganisha nae,same goes to cr7 angekua bora kuliko mess bas asingelinganishwa nae.
 
Tukuletee magori ya kibabe ya Messi , magori 100 sio 10 ??? Tatizo huwa mnakalili
Aisee anza kufuatilia majadiliano sio kurukia mkuu.., Siku hizi mechi zote televised kipindi kile ilikuwaje ?

Pili jamaa ameongelea offside rules nikamjibu hii sheria ipo tangia miaka ya 1800 na pia Pele sio fox in the box (sio poacher) kwahio kwa kuthibitisha hayo ndio nimeleta hio video kuonyesha anavyofunga....

Pia offside rule ya sasa ni rahisi sana kui-counter muangalie Ruud Van Nistelrooy anakaa offside kabla ya pasi anarudi onside alafu anachomoka tena....

Kipindi kile defender umekaa nae kama kupe hapo anakupiga pepsi na viwiko vya kutosha...
 
Timu Ronaldo walipiga kelele nyingi sana ndani ya miaka hii michache iliyopita hadi tukaona tuwaache tu, sasa leo hii pumba na mchele vimejitenga hakika sasa wote tunaongea lugha moja.

Wakati Cr7 akiwa kwenye sofa na remote sitting room nyumbani kwao mwenzake huko Qatar anaibeba timu yake kwenda Fainali za Kombe la Dunia.

Tumekuwa tukiwaambia huyu ndiye La Pulga kiumbe toka sayari nyingine na baado yupo sana tu!

Mwamba huyu hapa.

View attachment 2445987

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
sayari ipi alikotoka?
 
Messi yupo class ya peke yake, an exceptional player.

Halafu ndio wale wengine wajipange akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldinho, Ronaldo de lima, Christiano Ronaldo, Beckeunbauer, di Stefano, Platini nk
acha dharau
 
Most goals:
◉ 5 - Messi
◎ 5 - Mbappé

Most assists:
◉ 3 - Messi
◎ 3 - Kane
◎ 3 - Fernandes
◎ 3 - Griezmann

Most shots:
◉ 27 - Messi
◎ 22 - Mbappé

Most chances created:
◉ 18 - Messi
◎ 17 - Griezmann
Ungeeka na option ya penalty

Magoli ya mesii meng n penati kwa mbappe atasubiri labda asifunge leo 😄
 
Back
Top Bottom