Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

Most goals:
◉ 5 - Messi
◎ 5 - Mbappé
Kwenye hizo goals matuta ni mangapi na amekosa matuta mangapi

Not taking away anything from Messi is a Magician na hata akicheza vibaya hio siku star huwa ana tabia ya kufanya defenders wamuangalia yeye hivyo kuacha fursa ya wachezaji wengine...

Point yangu ni kwamba stats zinaweza zikasomwa vyovyote unavyotaka ku-prove point ila kuweza kupata uhakika inabidi kufanya dissection na upembuzi yakinifu they are all great players Mfano nikitaka a workaholic siwezi nikamchukua Messi (ila why do you need your best player awe grafter ?) au katika list kina Zidanne tunawaweka wapi ?

By the way Pele alishasema "Penalty is the Coward way of Scoring"

Ndio linakuja suala la complete player na hapo kuna only one man... The King The Living Legend... Pele...
 
Kajamaa kanajituma sana, ushindi wa jana kahusika kwenye magoli yote 3. Pamoja na juhudi binafsi za dogo Alvarez kwenye goli la pili, lakini pasi ya mwisho ilitoka kwa lapulga. La mwisho assist ni la pulga la kwanza mchizi tena, aisee.

Jamaa anaupiga mwingi.

Kabisa jamaa anaupiga mwingi mno
 
Jana nilikuwa nacheki mpira, kuna muda wachezaji wa Croatia walikuwa wanakabwa na watu wawili mpaka watatu

Mi nikasema jamani tukio hili hamuwezi mkalijadili kwasababu halijafanywa na mchezaji wenu pendwa

Baada ya muda ikatokea upande wa Messi kukabwa na watu watatu, kila mtu basi stori ndio ikawa hiyo hiyo

Zikaanza kelele "Ooh yule ni GOAT kumzuia ni mpaka watu wa 3 mpaka 6"
Kipindi kile kama timu yenu mbovu unaambiwa mkuu tunaomba ujitoe kafara nenda pale mtengue jamaa kiuno hata ukipewa kadi hakuna neno.., tutabaki wachache ila na yeye ameondoka (1966 ndicho alichofanyiwa Pele) na kuna kipindi hicho 1966 hakuna subs ukipigwa kiatu either ucheze umeumia au timu yako icheze pungufu na kwa kupigwa huku ndaluga ndio kulifanya 1970 world cup subs ziwe introduced...

We acha Bwana kipindi kile undava ndava manguvu ndio ujanja kwahio unatukanwa unafinywa na hata kutemewa mate refa ni kuamua amua na mpira kuendelea...
 
Sio dhambi, lakini angefanya hivyo CR7 angeitwa Penaldo ila kwa Messi hawezi kuitwa Penssi kama dhihaka ambayo angedhihakiwa Ronaldo
Wewe ndio unasema hivyo. Ila sisi tauari tumeona comments kibao za Ronaldo fanboys wakimuita Pessi. Sasa hivi wanataka magoli ya Messi yasihesabike kua matano sababu ya penalty!
 
Kajamaa kanajituma sana, ushindi wa jana kahusika kwenye magoli yote 3. Pamoja na juhudi binafsi za dogo Alvarez kwenye goli la pili, lakini pasi ya mwisho ilitoka kwa lapulga. La mwisho assist ni la pulga la kwanza mchizi tena, aisee.

Jamaa anaupiga mwingi.
Nope ? Messi works smarter not necessarily harder.... Messi timu inajengwa, inasukwa kumzunguka yeye (kwahio Messi sio Grafter) ingawa hio sio necessarily a bad thing... yaani kuna watu wanaojituma kama kina Gennaro Gattuso

Kwa ufupi pitia hapa kuna mwandishi alimfuatilia Messi kwa dakika tisini nzima na ni kama wengi walivyosema anatumia muda mwingi akiwa anatembea tembea.... (Might be Smart..., lakini sio Hard Working)

 
Messi mmeanza kumtizama lini Messi ndio ni moja kati ya wechezaji Bora wa Dunia lakin Kwa nyakati hizi kashuka sana Messi wa miaka ya 2011 alikua anauwezo wakufunga hadi Goli 90+ Kwa msimu mmoja ila Kwa miaka ya hivi karibuni hafiki Hata Goli 50 Kwa msimu lakini bado tunampa proud kubwa ivi msimu huu sizani hata kafika Goli 30
Messi wa 2011 hakua na umri wa miaka 35. He can't stay fresh forever!
 
Ukiwauliza uyo Messi ukitoa Goli za penati za kupewa kafanya kitu Gani zaidi ya hapo watakwambia anapiga chenga sana uwanjani Messi imefika time anapiga chenga hadi anadondoka mwenyewe kitu alichobakinayo Messi Kwa Sasa ni uwezo wa kuficha mpira tu ila speed,Goal score ,assist kashuka sana kama Kuna mtu anajua mpira apa aje tumpe takwimu za Messi Toka 2004
Ukitoa magoli ya hizo unazoita "penati za kupewa", haya ni mambo mengine aliyoyafanya Messi:


Most assists:
◉ 3 - Messi
◎ 3 - Kane
◎ 3 - Fernandes
◎ 3 - Griezmann

Most shots:
◉ 27 - Messi
◎ 22 - Mbappé

Most chances created:
◉ 18 - Messi
◎ 17 - Griezmann




Leta swali jingine!
 
Ukitoa magoli ya hizo unazoita "penati za kupewa", haya ni mambo mengine aliyoyafanya Messi:


Most assists:
◉ 3 - Messi
◎ 3 - Kane
◎ 3 - Fernandes
◎ 3 - Griezmann

Most shots:
◉ 27 - Messi
◎ 22 - Mbappé

Most chances created:
◉ 18 - Messi
◎ 17 - Griezmann




Leta swali jingine!
Wew ni mshamba wa mpira Ata Juan cuadrado amewah kuwa top assist wa kombe la Duniani tena alifikisha assist nne kwanin unashangaa Messi kufika assist tatu kwani ye Ndio wa kwanza
 
Wew ni mshamba wa mpira Ata Juan cuadrado amewah kuwa top assist wa kombe la Duniani tena alifikisha assist nne kwanin unashangaa Messi kufika assist tatu kwani ye Ndio wa kwanza
Tatizo wanaleta ushabiki tu, inawezekana hata huyo Cuadrado hamjui
 
Wew ni mshamba wa mpira Ata Juan cuadrado amewah kuwa top assist wa kombe la Duniani tena alifikisha assist nne kwanin unashangaa Messi kufika assist tatu kwani ye Ndio wa kwanza
Umeuliza Messi amefanya nini kingine tofauti na magoli aliyofunga. Nimekuletea takwimu kujibu swali lako, unaniita mshamba na kuniletea habari za Cuadrado.

Hapo ni nani mshamba kati ya mimi na wewe?
 
Messi atakuwa akili yake haiwezi kupembua mambo au sio mfuatiliaji.... (wakati ananyonya watu walikuwa wanauguza ankle zao na magoti na majeraha kadhaa) In short Pele angeweza kucheza leo (technically gifted) lakini kipindi hicho ulihitaji kuwa na nguvu za ziada (Messi ofcourse ana nguvu ila asingecheza mechi nyingi kama anazocheza leo) injuries...

Hivi unajua kipindi cha kina Pele Striker alikuwa hapewi favor (unapigwa buti mpaka unashangaa) bila nguvu usingeweza kucheza..., Leo Messi ni multi million asset akiumia siku chache sponsors wanapoteza pesa, hivyo refeers wanamlinda akiguswa tu basi...

Kipindi kila beki anakupiga kiatu au hata ukizubaa unapigwa kichwa na pepsi za kutosha..., unadhani kina Messi wangecheza kipindi hicho... huo mwili wake tu angekuwa anawekewa majamaa mawili yaliyoshiba akitoka hapo miguu imevimba.... tena acha kipindi cha kina Pele hata kipindi cha 1990 kina Maradona hebu cheki hapa Cannigia alivyopigwa kiatu (refa anapeta tu) leo hii mtu angejirusha apewe penalty...



Ukweli mtupu, Football imekua nyepesi sana zama hizi.
 
Sijaelewa kipindi hicho nyekundu ilianza ndio ikafuata njano?
Refa alikosea kuzitoa alipewa two yellows ambayo inakuwa red..., kipindi hiki angepewa straight red na FIFA kukaa baada ya mechi kumuongezea adhabu
 
Kwa kweli munatia aibu, Yani Penalty ndizo zinakufanyeni mutembee kifua mbele?
 
Back
Top Bottom