Nimehoji kuhusu hili kuwa anataka kusema nini?Kama sijakosea mtoa mada anawashindanisha Ronaldo na Messi, sio mbape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimehoji kuhusu hili kuwa anataka kusema nini?Kama sijakosea mtoa mada anawashindanisha Ronaldo na Messi, sio mbape
Kila moja kwa wakati wake.Messi yupo class ya peke yake, an exceptional player.
Halafu ndio wale wengine wajipange akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldinho, Ronaldo de lima, Christiano Ronaldo, Beckeunbauer, di Stefano, Platini nk
Mshamba wew ambaye unadai Messi ni mchezaji mkubwa afu unaleta rekodi za kitoto ambazo Ata wachezaji wakawaida wamezifika ndio nikakupa mfano wa Juan alifikia hiyo rekodi Yako ya assist tatu sjui mbili ili ueleweUmeuliza Messi amefanya nini kingine tofauti na magoli aliyofunga. Nimekuletea takwimu kujibu swali lako, unaniita mshamba na kuniletea habari za Cuadrado.
Hapo ni nani mshamba kati ya mimi na wewe?
Tatizo la wabongo Kuna ugonjwa fulani unatusumbua.Yaan mtu akifunga goli au akicheza vizuri ,atapewa sifa zote kama vile hatujawahi kuona wachezaji wengine wazuri.Hata hapa nyumbani tu.Kuna mchezaji anaitwa Chama au Morrison wakicheza vizuri yaan sifa zinakuwa nyingi sana kuliko mchezaji mwenyewe.Utasikia hapa bongo haijawahi kutokea mchezaji Kama huyu.Yaan upumbavu mtupu.So far sijaona ubora wa Messi .Yaan ni Kama kubahatisha tu.Ukiwaona Croatia ni wazuri sana kuliko Messi na Argentina.Aidha kwa umri wangu nimeona Maradona akicheza mpira.Sioni Kama Messi anamfikia.Kama Messi ndio bora basi tumerudi nyuma sana.
Ukiwauliza uyo Messi ukitoa Goli za penati za kupewa kafanya kitu Gani zaidi ya hapo watakwambia anapiga chenga sana uwanjani Messi imefika time anapiga chenga hadi anadondoka mwenyewe kitu alichobakinayo Messi Kwa Sasa ni uwezo wa kuficha mpira tu ila speed,Goal score ,assist kashuka sana kama Kuna mtu anajua mpira apa aje tumpe takwimu za Messi Toka 2004
We na we sjui ata unaongea kitu Gani nani kakwambia hatumpi heshima MessiKama unadhan mpira rahisi kacheze,heshima kitu cha bure na LAPUGA apewe heshima yake
Mbona unanifatilia sana?
Kwani lazima uniquote?
We na we sjui ata unaongea kitu Gani nani kakwambia hatumpi heshima Messi
2019 Ferguson alikua Manchester unaona ulivo mbovu kweny rekodi za mpira inawezekana Ata Messi umeanza kumtizama miaka ya 2020Kumbe we united ya Ferguson????lazima uweweseke na huyu kiumbe kwa kile alichowafanyia Wembley 2019 mpaka babu yenu akapatwa na degedege
Ujinga wako wa kipumbavu umebase kwenye uchawa zaidi .Angalia mpira fanya interpretation sio uchawa.Tanzania tunapenda kusifia sifia tu .Hata ujinga tunasifia.Hili Taifa la watu wa ajabu sana.Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Ujinga wako wa kipumbavu umebase kwenye uchawa zaidi .Angalia mpira fanya interpretation sio uchawa.Tanzania tunapenda kusifia sifia tu .Hata ujinga tunasifia.Hili Taifa la watu wa ajabu sana.
Jenga hoja sio matusi.Yaan matusi yako yanadhihirisha uwezo wako mdogo.Yaan siku hizi humu JF kuna vilaza tupu na watu waliofrustrate.Its a rare case to meet with unknown who can cement strong ideas and point.Anaejua anajua tu,co lazima umkubali ww ucwe mjinga wa kiwango cha SGR
Huwa siwaelewi mtu anayembeza Gaucho...ni ama hakuwahi mshuhudia kwa muda murefu kwa sababu ya changamoto za teknolojia muda ule, ama amemshuhudia wakati anaelekea ukingoni!Messi yupo class ya peke yake, an exceptional player.
Halafu ndio wale wengine wajipange akina Pele, Maradona, Zidane, Ronaldinho, Ronaldo de lima, Christiano Ronaldo, Beckeunbauer, di Stefano, Platini nk
Jenga hoja sio matusi.Yaan matusi yako yanadhihirisha uwezo wako mdogo.Yaan siku hizi humu JF kuna vilaza tupu na watu waliofrustrate.Its a rare case to meet with unknown who can cement strong ideas and point.
Hata vipaji vyao kuanza kudhihirika ilikuwa ni tofauti sana, Messi alianza kukiwasha akiwa na 19, akaweka Hat Trick dhidi ya Madrid ilokuwa na mastar kibao.Lakini huwez kufanya huo Ulinganishaji ..
CR ni Messi + 3 Age.
CR at his Prime na Leon at his Prime ilikuwa haieleweki who is the be/t.
Lakin walikuwa wakipishanapishana katika ubora. Ni best players kwa miaka 15 iliyopita.
Ni jokes kumdharau CR kwa kiwango cha sasa. Umri umeshamchapa kaka