Tumepoteza kijana huko Houston, Texas. RIP Humphrey Magwira

Hawa jamaa mara nyingi ni wavuta bangi, unga na ni wahuni kweli na wala hawajali kuhusu mungu.
ni gangsters na texas ndio paradise.
 
Hiyo ni bange tu!! Unamkumbuka ditopile wa mzuzuri!! Kwa vile kuna tofauti ya rangi tutasema ubaguzi, ila ni hulka ya binadamu kutokana na state aliyopo in emotions, labda kaachwa na mpenziwe muda sio mrefu!!
No, kushoot mtu mpaka kifo sio kitendo cha kawaida cha kuweza kufanya bila ya kuwa na bad background au mazoea na haimake sense kwamba ukiwa kwenye bad mood basi unatoka na unamshoot mtu to death.
hawa wahuni wa kimarekani mostly malezi yao ndio sababu, mazingira na tabia za watu waliowazunguka ndio inapelekea kuweza kuua mtu bila kufikiria mara mbili.

Unaweza kuta huyo kichaa amelelewa na wezi pia bangi na unga ndio chakula bora.
 
Hakuna sehemu niliposema mzungu nimesema mweupe, Duniani kuna mtu mweusi na mweupe tu hao wahindi wekundu hawana tofauti ki rangi na John Deep
weupe ni watu wasio kuw na melanin kabisa hawatofautian
sana na albinos ukifuatilia mauaji ya adolf hitler kwa wayahudi million 2 ilikuw ni mambo ya
ubaguzi wa rang kama huo .
sababu kubwa ya ubaguzi ni hawataki race yao ipotee course mzungu(weupe) akizaa na colored people
by default mtoto atakuwa colored na yeye hivo itapoteza race yao,
Ndio maana adolf hitler hakuua tu colored people pia mashoga course hawakuwa na faida kweny kuongeza race yao.
 
Ni computer engineer wa chuo kikuu maarufu USA na anaandika makala Forbes
Sasa kwa sifa hizi zote kina Mange ndio waanze kusumbuwa watu kuchangia pesa ya kusafirisha mwili wake Tanzania? Kweli jameni?
 
Kwani mayahudi aliowauwa Hilter walikuwa race gani? Usijibu swali hili ksma huwajui Jewish.
 
Sasa kwa sifa hizi zote kina Mange ndio waanze kusumbuwa watu kuchangia pesa ya kusafirisha mwili wake Tanzania? Kweli jameni?
Matumizi ya huko makubwa , inawezekana hicho kipato alichoanza kuingiza kinakuwa bado hakijaanza kujaa.

Nafurahishwa na Watanzania wanaokwenda nje na kufanya mambo makubwa ya maendeleo au kuwa na ndoto kubwa sio unakwenda nje halafu ni kwenda Klabu za usiku hata familia uliyoicha Tanzania huchangii chochote.
Nigeria uchumi wao umekuwa moja wapo ya sababu ni ya ela inayotumwa na wanigeria wa USA na nchi nyingine
 
Maiti kwenye ndege inasafirishwa kama mzigo tu, inapimwa kilo mnalipia Bongo wanakwenda kupokelea cargo.

I mean taasisi anazohusika nazo kama hao forbes mbona hilo ni jambo dogo sana? Hata wakiombwa wao tu msaada wa kucover hizo gharama za kusafirisha mzigo?
 
Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Binafsi naamini ni chuki zile zile za ubaguzi wa rangi. Alipata sababu tu alipogongwa na huyo dogo!
 
Source?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…