Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Kwani kukosekana tume huru kunawaathiri tu bavicha na Cdm yao ?!. Siyo kuwa ni tatizo la taifa kukosa ustaarabu ktk democracy ?!
Nyie ndio huwa mnalalamika kwamba hamshindi sababu ya ukosefu wa tume huru, lakini cha ajabu baada ya uchaguzi badala ya kudeal kupata hiyo tume huru mnahangaika na vitu vya kijinga, kama hivi ona huu uzi una coments zaidi ya 600 utafikiri hizo kura zinamuindoa Magu ikulu. Wengine nimeona wanaibua hoja eti Mwinyi anamfunika Magu [emoji23][emoji23][emoji23]yani ni upumbavu mtupu. Lakini mambo ya maana mtaanza kuyakumbuka ikifika mwezi wa 10 mwaka 2025.
 
Ika huko Gana ambako anapata 55% wao wana siasa za kijinga sawa na tz eti?

Pointless kabisa.
 
Tume huru haiombwi inapiganiwa . Kinachopiganiwa unajua matokeo yake. Kama waTz hawajawa tayari acha waendelee kunyanyaswa na wasiowachagua
 
Mkuu!! Acha siasa!!
Nilichoandika ndicho, Lissu anapendwa na watu wa mitandaoni wasiojua kupiga Kura, waongo na wazushi ndio, eti walikuwa wanazidiana Kura 10/ wewe kama Nani mkuu!!
Mkuu hatufahamiani humu.Bila wasimamizi na wakurugenzi kuokoa jahazi Hali ilikuwa mbaya...yako maeneo wasimamizi walilazimika kupiga kura wenyewe kwenye vituo kuijazia ccm...
 
Wabongo walivyo wa ajabu na walivo na chuki wanaweza wakaamua kuwapigia hao wawili wa mwisho kabisa ili nafasi ya kwanza ya pili na ya tatu zishikwe na watu wa mbali huko...kwa kweli huo sio uzalendo
 
Amekumbusha mbali?🤣
Mkuu, Kuhusu kushinda Kwa Lissu, Hilo hata yeye anajua kuwa isingeliwezekana, swala sjui la wizi na nini!! Hilo ni hasira Tu za kushindwa, na Kwa kweli hakuna kitu kibaya kama kushindwa!!

Ipo namna ya uandishi wake ulionifanya nicheke!! Na Kwa kweli nimefurahi Sana!!
 
Endelea kufunika Ado tuachie dikteta wetu tunamjua wenyewe na ukatili wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…