permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Tayari washabana wizi wa kura, mambo ya hukamisha mabox hayaruhusiwi hukuYaani watanzania mmeamua kabisa kumpigia wa Ghana? Maana naona kila nikipitia link hiyo asilimia za Rais wa Ghana anazidi kuongeza kura huku za kwetu zikiwa zimesimama na kupungua. Hebu tuwe wazalendo jamani