Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR

(Formerly: ALM Person of the Year 2020 – Political Leadership)
This recognition is open to an African, whose contribution has immensely contributed to deepening democracy and democratic values in the continent.

....ndo maelezo ya pale mtandaoni. Inatakiwa kupigia kura kiongozi "aliyestawisha" na kuboresha demokrasia.

Inabidi uwe mnafiki sanaa kumpigia kura mtu fulani aliyeua kabisa demokrasia
Kwa maelezo hayo mafupi Magufuli hakustahili hata kuwemo kwenye mchuano huo. Kuwemo kwake ni kiashiria kuwa Africa tuna hali mbaya sana ktk utawala bora, hadi Magufuli anakuwa considered kunawirisha demokrasia!!!!!!!!!!!!... Muungwana anapoamua kumuita kichaa watete jambo, hapo ujuwe wanaoweza kuzungumza vizuri hawapo!.
Ghana wanastahili.
 
Kuna watu na akili zao fupi basi wanaona huku kupiga kura ndio kama uchaguzi mkuu wa nchi vile.
 
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Africa wa mwaka.

Rais magufuli anashindaniswa na marais wa Djibouti. Afrika kusini .Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora

Japo magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana


USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Only a fool can vote for him!
 
Kuna Upigwaji Kura wa Tuzo zinapigwa huko ila nashangaa kila nikichungulia tu nawaona Viongozi wengine na Percentages zao ila Kiongozi wangu nimejitahidi hadi Kuzuumu nijiridhishe kama nae yupo lakini hola. Kwa jinsi Kiongozi wangu wa Tanzania alivyo na Maono, Mchapakazi, Hodari na ameitoa Tanzania pabaya na sasa inaenda Peponi Kimaendeleo naona hawa ALM wanamuonea mno.
Jecha wapi jecha
 
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Africa wa mwaka.

Rais magufuli anashindaniswa na marais wa Djibouti. Afrika kusini .Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora

Japo magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana


USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Over my dead body! This very murderer a good leader!!???? spare me this shit!
 
Hiyo 56% kaipata wapi? au lumumba mme hack hiyo account mkaweka namba zenu kama kawaida yenu!

Inawezekana hizo kura zilikuwa na Nana A. Addo.
Na kwa taarifa yako hizo kura asilimia kubwa ninkutoka mataifa mengine. Sie bado hatujaanza mimina lura zetu.
Jpm anakubalika sana africa.
 
Back
Top Bottom