Acha uchuro basi bibieLegend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.
Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.
IdiocyWote twaelekea huko kikubwa kuweka tu hazina ya kutumia huko.
RIP in Advance Legend and to all of Us🌹🌹🌹
Halafu cancer yake imesambaa,kutoka utumbo mnene(Colon)Sasa kuka metastases kwenye utumbo mwembamba,mapafu na kwenye Ini.Ni mateso kwa kweli. Hapo itakuwa wanamuwekea morphine kupunguza maumivu. Mungu amsaidie tu huyu mzee .
Tukifa tunapumzika?Pele sasa asipate nafuu.
Ni bora apumzike kwa sasa..alale kwa utulivu.
Kansa inatesa sana. Nafuu yenyewe ni ya maumivu makali tu. Apumzike Legend.
Life starts after deathTukifa tunapumzika?
Ndio miaka gani hiyo tenaAna miaka mingapi? Isije ikawa imezidi ile ya ahadi tulopewa ukiwa na nguvu na yupo kwenye ile miaka ya tabu na mateso
Zaidi ya 80Ndio miaka gani hiyo tena
Dah inauma jamaniHapa hakuna cha get well soon mkurugenzi! Yaani kiufupi mzee mzima kansa imeshasambaa mwilini. Hivyo anasubiri tu kuaga dunia.
Ndo miaka yenyewe hiyo ya mateso kama kuna magonjwa ndo muda wa kufumuka basi tumwachie MunguAna 82.
Jamani na watakuwa walijuwa anytime anakufa. Mmh sipati picha alikuwa under care kiasi gani, watakuwa walifanya kila njia ikashindikanaLast week waliweka program kuhusu maisha yake na Autobiography na walioandika maisha yake
Kwa mara ya kwanza wakasema ukweli kuwa alikuwa anasumbuliwa mwaka mzima na cancer ya mifupa
Hawakutaka watu wajue mwanzo ila wamesema
Inauma sana aseeh 😭Yaani wewe,nilikuwa ninasikitika. Imenibidi nicheke tu.
Hujui kuimba wewe sauti mbaya kishenzDunia tunapita ee kila kitu kitabakia,kitabaki dunia hii hii,binadamu ni mchanga duniaaa
Aliichezea simba au yanga? Wampeleke mlonganzila kuna madaktari wataalamu sana paleLegend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.
Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.
Sio kweli mkuu... siyo kweli!!Kuna myth nyingi ila hata cells za mwili zikifa zinadecompose zinakuwa sumu na ile sehemu zilipodecompose Inakuwa ndo cancer inaanzia pale.
Mfano unajua zile x-ray scanner Zina mionzi mikali ukipiga mara kwa mara kweny mwili zinaweza kuua cell ,sasa cells zikifa zinarundikana na kudecomposed basi ni uchafu na ni cancer ile sehemu na inaanza kusambaa kuua cells nyingine na hapo ndo unashangaa inasambaa .
Zipo sababu nyingi San za cancer hata baadhi ya kemikali kweny vinjwaji zinaweza kuleta cancer mwili..ubaya kuhusu cancer inasambaa sana unaweza kupata caner ya damu hii mzee fasta inakimbiza na kusambaa katika mwili..Kuna mpak ya mifupa yaani acha tu.
Duh...kwa hiyo ukifa kabla ya 80 umebugi mennnnn!!!!Zaidi ya 80
Hujui kuimba wewe sauti mbaya kishenz
Kikubwa ni kumuombea mauti yaje aondokane na kadhia ya maumivu yasiyomithilika. Mauti ni ibada. Wala si kitu cha kukwepeshakwepesha hasa kwa mwenzetu anayekua katika hali kama yake na umri ule.Tumuombee ili iweje? Kifo hakiepukiki
Pele adumu milele, na atadumu daima hata kama mwili utamtokaLegend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.
Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.