Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Mkuu nitafute nikupe wazo uweze kuyafikisha hayo maji umbali wa mita 800 hadi shambani kwako ila hadi nikuhoji baadhi ya maswali na pia unipigie picha vitu ambavyo nitakuuliza, mi mwenyewe nilipata hiyo changamoto chanzo cha maji kilipo na shamba lilipo jiografia ya eneo ni Kama lako umbali wa mita 750 ila niliyafikisha maji bila shida tena kwa pampu ndogo, hebu nicheki 0754028641
 
Habari jf.

Moja ya njia ya kupunguza gharama za ujenzi ni kununua mzigo wa material kwa bei ya jumla. Sasa hapa kuna mchongo wa hizi plumbing fixture kama utanunua full set za toilet, washing basing, kitchen sink , dining sink, shower, n.k. Utapata kwa bei ya jumla kama wanayonunua wafanya biashara za hardware.

Karibuni usipitwe, njoo Godown Mikocheni.
CALL/ SMS/ WHATSAPP 0759 600809
Angalizo: kwa watu wa mikoani msiogope hamjatengwa, unaweza kuomba order quotation, ukafanya malipo bank, ukatumiwa mzigo wako.


 
Kwa wale wanaohitaji maji kwa matumizi ya nyumbani au kwenye miradi mbalimbali. Sasa tambua matumizi yako kisha nunua pampu kulingana na uhitaji wako.

Tunauza jumla jumla kuanzia pc tano na rejareja ukiitaji chini ya idadi hiyo.
zipo pampu kwa matumizi ya visima virefu na vifupi.
zipo pampu kwa matumizi ya kutoa maji taka, hizi zitatumiwa hadi kwenye migodi midogo midogo.
zipo pampu kwa matumizi ya kuongeza pressure ya maji kutoka kwenye maji ya dawasco.

Vifaa vya kufungia pump kwa size zote utapata dukani kwetu, mfano: cable, rope, male connectors, poly pipe, T connector, elbow, seal cap, n.k. Mafundi wazoefu wa kufunga pampu na kuzifanyia repair pia wapo.

Pampu hizi zina nguvu tofauti tofauti kulingana na mahitaji na matumizi yake. Unaweza kuendesha pampu za maji kwa kutumia umeme wa jua, umeme wa kawaida au generator.

karibu upate pampu zinazodumu na kwa bei rafiki. Tupo Kariakoo-DSM , mikoani tunakutumia.

Pay after delivery ipo kwa DSM tu.

sms/call/whatsapp 0759600809 au 0699494650

 
Water pump yenye kutumia solar power, inayo weza fungwa mpira wa wa kupelekea maji wa nchi 3 mnayo na ina uzwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…