Tunafunga mjadala sasa, Mwanaume anapendewa pesa tu - Mbunge wa Iringa Mjini

Tunafunga mjadala sasa, Mwanaume anapendewa pesa tu - Mbunge wa Iringa Mjini

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
"Leo ukiniambia nguzo za umeme zitanunuliwa nje ya nchi, unamaana vijana wangu wote waliopo Iringa, songwe, Tanga wote wamepanda miti wakose fedha?

Watakapokua na hitaji la mapenzi watafanya nini? Kwa sababu, sasa hivi hakuna mwanamke atapenda sura, kwa sababu wanaume kwanza hawana sura nzuri.

Utampendaje mwanaume sura, mwanaume anapendwa na kitu alichonacho, anapendwa fedha", Mbunge wa Iringa (CCM), Jesca Msambatavangu

#MwananchiUpdates
#BungeLaBajeti2022
 

Attachments

  • 1649932144205.mp4
    1.7 MB
Kwa sababu, sasa hivi hakuna mwanamke atapenda sura, kwa sababu wanaume kwanza hawana sura nzuri. Utampendaje mwanaume sura, mwanaume anapendwa na kitu alichonacho, anapendwa fedha", Mbunge wa Iringa (CCM), Jesca Msambatavangu [emoji23]
 
Bado mnataka kuendeleza mijadala? Sasa hivi hata mkeo anakuuzia bila ya wewe kujuwa.
juzi kati shemeji/wifi yenu a.k.a mai waifu wangu kanipa show ya kibabe sana mpaka nikashangaa.

asubuhi kanipiga mzinga wa laki(nje ya ile ninayompa kila mwezi ya matumizi yake ya kawaida), anadai anadaiwa na shosti yake kazini kwao, alimkopa last month.

kishingo upande nikamuamishia mualamala wa laki moja na ya kutolea juu.
 
juzi kati shemeji/wifi yenu a.k.a mai waifu wangu kanipa show ya kibabe sana mpaka nikashangaa.

asubuhi kanipiga mzinga wa laki(nje ya ile ninayompa kila mwezi ya matumizi yake ya kawaida), anadai anadaiwa na shosti yake kazini kwao, alimkopa last month.

kishingo upande nikamuamishia mualamala wa laki moja na ya kutolea juu.
[emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom