Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Tuma na ya kutolea[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][mention]Kelsea [/mention]
Me sio mchoyo...ngoja nkuoneshe madin mywangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma na ya kutolea[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][mention]Kelsea [/mention]
Me sio mchoyo...ngoja nkuoneshe madin mywangu
Mume majukumu yamuhusu, halafu mchepuko unajipipigia bure.Hamchelewi kuomba tigo....hapana kwa kweli...mwenyewe nina kiu ivo nitakupendea hichohicho....nisugue nisepe.Maisha yenyewe hayahaya....ila kama ni mume majukumu lazima yanakuhusu
Hapana hatuchepuki kama unaleaMume majukumu yamuhusu, halafu mchepuko unajipipigia bure.
Vipi umeshamalizana na mshkaji nije?Hapana hatuchepuki kama unalea
No nina mpango nae kabambe...nisijeharibu mkuuVipi umeshamalizana na mshkaji nije?
Aha ha haaaaa, sawaNo nina mpango nae kabambe...nisijeharibu mkuu
Umeamkaje na hali lakiniAha ha haaaaa, sawa
Aaahh, hii mvua hii wacha nifanye mpango wa koloniUmeamkaje na hali lakini
Hakika maana maisha ndo hayahayaAaahh, hii mvua hii wacha nifanye mpango wa koloni
Naomba kwanza nijue maana ya "Mtambazavangu"."Leo ukiniambia nguzo za umeme zitanunuliwa nje ya nchi, unamaana vijana wangu wote waliopo Iringa, songwe, Tanga wote wamepanda miti wakose fedha?
Watakapokua na hitaji la mapenzi watafanya nini? Kwa sababu, sasa hivi hakuna mwanamke atapenda sura, kwa sababu wanaume kwanza hawana sura nzuri.
Utampendaje mwanaume sura, mwanaume anapendwa na kitu alichonacho, anapendwa fedha", Mbunge wa Iringa (CCM), Jesca Msambatavangu
#MwananchiUpdates
#BungeLaBajeti2022
Huo ndio ukweli wa mambo. Huyu mbunge kaongea ukweli tumpe tuu uraisKijana/mwanaume yoyote anayeamini na kujisifia anapendwa na mwanamke na hampi kitu huyo ni mjinga na anahitaji kuulimiwa...
Wanawake wote wanakupenda kama una kitu cha faida kwake...
juzi kati shemeji/wifi yenu a.k.a mai waifu wangu kanipa show ya kibabe sana mpaka nikashangaa.
asubuhi kanipiga mzinga wa laki(nje ya ile ninayompa kila mwezi ya matumizi yake ya kawaida), anadai anadaiwa na shosti yake kazini kwao, alimkopa last month.
kishingo upande nikamuamishia mualamala wa laki moja na ya kutolea juu.
Hilo tyako na mkao wake kama 'tia maji stamina zero' unaweka tyako tano tayari wapalestina hao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani mbona mie hizi fursa za kubakwa hazinitokei?