Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
 
SIO UTAMADUNI MBAYA:-

Tuliamua kama taifa ,Rais awe boss wa Kila kitu na afanye anavyojisikia akiwa madarakani,yaani Raise anafanya kufurahisha hisia zake na sio malengo makuu ya taifa !

Na vyombo vya ulinzi vilinde hisia zake bila kumuonya hata kama anakosea vikae kimya vimlinde na uozo wake!!

Hayo ndio maamuzi mabovu ya Dola yetu na jamhuri yanayoumiza Taifa letu!!
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
No! TulianzIa Bagamoyo then Chato akapokea kwa ukubwa sana sana.

Ova
 
Zaidi ya hadithi ni kipi ambacho Magufuli alikifanya Chato kwa hela za serikali ambacho hakukifanya kwengine Tanzania.

Hadithi za upendeleo wa Chato zipo kwenye vichwa vyenu tu.

Ulishawahi sikia tamasha la Chato.

Magufuli hana mradi wa kupendelea Chato kwa hela za serikali; hoja pekee labda sio hata uwanja wa ndege (maana ni wa hovyo tu) labda runway yake inavyoweza pokea ndege kubwa.

Magufuli na Samia ni watu wawili tofauti.

Put respect on Magufuli’s name sio wa kulinganishwa na viongozi wenu wa hovyo.
 
Sera ya majimbo na katiba mpya ni dawa ya viongozi wabinafsi wasio na maono kama samia .
 
Zaidi ya hadithi ni kipi ambacho Magufuli alikifanya Chato kwa hela za serikali ambacho hakukifanya kwengine Tanzania.

Hadithi za upendeleo wa Chato zipo kwenye vichwa vyenu tu.

Ulishawahi sikia tamasha la Chato.

Magufuli hana mradi wa kupendelea Chato kwa hela za serikali; hoja pekee labda sio hata uwanja wa ndege (maana ni wa hovyo tu) labda runway yake inavyoweza pokea ndege kubwa.

Magufuli na Samia ni watu wawili tofauti.

Put respect on Magufuli’s name sio wa kulinganishwa na viongozi wenu wa hovyo.
JPM alikuwa changamoto kweli kweli
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
samia anajua muda wowote muungano utavunjika kwa hiyo anafanya hivyo ili hata likitotokea la kutokea awe ameshajenga kwao maana sidhani kama atafanikiwa kupita tena awamu ijayo
 
Waache
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
Waacheni watumie fedha za Kodi zetu maana wenyewe ndio wenye mamlaka nazo huku watu vijijini wakikosa maji safi na salama
 
Inashangaza sana kwa kweli hata Mkwere na Hakufanya haya Msoga aliona apaache tu pawe pa kawaida leo Kila Kitu ni Kizimkazi tunajenga culture mbovu ila huu ni muendelezo wa Chato juzi nilisema saivi wachunga Ngombe wa chato wamesahaulika hakuna Mtendaji hata mmoja anaewaza ku reallocate hela iende kufanya Kitu chato wakati kipindi kile kila mtu anapambana Kuipa chato funds ili aonekane na Mkuu wa Nchi now mambo yamehamia Zanzibar Sisi yetu macho
 
Zaidi ya hadithi ni kipi ambacho Magufuli alikifanya Chato kwa hela za serikali ambacho hakukifanya kwengine Tanzania.

Hadithi za upendeleo wa Chato zipo kwenye vichwa vyenu tu.

Ulishawahi sikia tamasha la Chato.

Magufuli hana mradi wa kupendelea Chato kwa hela za serikali; hoja pekee labda sio hata uwanja wa ndege (maana ni wa hovyo tu) labda runway yake inavyoweza pokea ndege kubwa.

Magufuli na Samia ni watu wawili tofauti.

Put respect on Magufuli’s name sio wa kulinganishwa na viongozi wenu wa hovyo.
Umeandika ujingaujinga.
 
Back
Top Bottom