Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu wa kizimkazi amewazidi wenzake wote Kwa kujipendelea .Kwa Sasa anajenga Samia sport academy Kwa mapesa ya Tanganyika.aAnachota tu pesa zetu na kuzipeleka huko uswekeni kizimkazi.
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.

Mbwa tunaonea Wivu Maendeleo ya KIZMKAZI ...!!
 
Tumejenga uwanja wa ndege Chato kwa mabilioni badala ya kukamilisha wa Mwanza kuelekea kuwa wa Kimataifa ili kukuza utalii kanda ya ziwa ili kukuza na kufurahisha utamaduni wa kuchekesha viongozi?

Ulishawahi kupanda ndege kweli wewe??

Aliyepanda ndege hawezi kuhoji umuhimu wa uwanja wa ndege Chato maana ndege zinatua kila siku
 
Chato yalipelekwa maendeleo ya jamii ila huko kwingine kula bata tu na kulipana posho
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
Hili litaisha endapo kila eneo/mkoa utakuwa na mamlaka na rasilimali zake. Kwa sasa hela za gold toka Geita au mbao za Mufindi zinapelekwa Dodoma na kisha kuelekezwa kupelekwa Kizimkazi

Ingelikuwa serikali kuu haikusanyi hizi hela za kutoka mikoani wasingekuwa na hela za kufanyia mambo ya hovyo kama wanavyofanya sasa
 
Huyu wa kizimkazi amewazidi wenzake wote Kwa kujipendelea .Kwa Sasa anajenga Samia sport academy Kwa mapesa ya Tanganyika.aAnachota tu pesa zetu na kuzipeleka huko uswekeni kizimkazi.
Na hakuna anaye hoji. Hayo mambo ni local activities na yanapaswa kufanywa na SMZ lakini ni funds za serikali ya JMT ndio zina tumika.
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
Hakuna kitu kimefanywa chato hakihitajiki au ni mpango mbovu. Kiwanja cha ndege ni mpango kila mkoa kua na kiwanja cha ndege. Sasa geita ina kiwanja kingine? Hospitali nayo utasema ni mpango mbaya? Acheni chuki. Hata huko kwa samia pengine ni miradi ipo kwenye mpango.
 
Siku nchi ikipata akili pengine labda mimi na wewe tusiwepo ipo wahusika watajua pa kuanzia.

Kwa Tanzania hakuna namna nyingine zaidi ya njia aliyoanza nayo Magufuli.

Hakuna
Magufuli ali set standard ya mfumo wa bottom-up( People's power) katika kuongoza nchi ndo maana alifaulu na kuua mfumo wa top-down aliouanzisha Nyerere na katiba yake mbovu .

Samia anarudi kwenye mfumo wa top-down ; atafeli . Maana tuko kwenye nyakati za mwisho na tukakapo ingia kwenye nyakati-mpya kuanzia november mwaka huu , malaika mbinguni wanawasha mfumo wa bottom-up( People's power ) kuongoza ulimwengu na utadumu kwa muda wa zaidi ya miaka ishirini . Katika kipindi cha nyakati -mpya kuna wakubwa wa dunia watashushwa kama wako nje ya mfumo mpya wa Mwenyezi-Mungu na kuna wadogo ( wanyonge ) watainuliwa .
 
Ulishawahi kupanda ndege kweli wewe??

Aliyepanda ndege hawezi kuhoji umuhimu wa uwanja wa ndege Chato maana ndege zinatua kila siku
Ona zoba hili! Unajua naandika haya nikiwa wapi? Hujui, na nimefikaje huku!
Umeandika kishamba sana, Unadhani kila uwanja ni muhimu kila mahali?
Hata Mobutu alijenga uwanja kijijini kwake porini na ikawa ni hasara tuu!
Unajua gharama za ujenzi wa uwanja? Chato wa nini wakati Geita upo unaotosheleza mahitaji?
 
Kuna nguvu kubwa sana inatumika kukuza Kizimkazi. Kizimkazi ni kijiji alichozaliwa rais wa JMT Samia. Kwanini kwa sasa inakuzwa hivi? Mpaka sms kwenye simu tunapokea tangazo la kwenda huko?

View: https://youtu.be/LAXJc1CWe24?si=yqjZAIw6-QkZymd6
Miradi inayotekelezwa huko pamoja na Zanzibar yote je ni pato la ndani? Zbar ina uwezo wa kujenga uwanja kila wilaya ila Tanganyika haina uwezo huo, je shida ni nini?

Kama serikali inakuza Kizimkazi kwa lazma basi haitafika mbali, angalieni ilivyokuwa Chato.
 
Tumejenga uwanja wa ndege Chato kwa mabilioni badala ya kukamilisha wa Mwanza kuelekea kuwa wa Kimataifa ili kukuza utalii kanda ya ziwa ili kukuza na kufurahisha utamaduni wa kuchekesha viongozi?
Mwendazake alikuwa zaidi ya kichaa
 
Haya bana! Acha hela ya dhahabu ya Tanganyika na pamba ya Simiyu ikagharamie sherehe za kukata viuno Kizimkazi wakati watoto wa huko Geita wanasoma namna hii
 

Attachments

  • downloadfile-6.jpg
    downloadfile-6.jpg
    77.8 KB · Views: 0
Wachaga jichangeni na nyinyi apatikane Rais mchaga Kariakoo ihamishwe kwenda Moshi pale..
Wahaya acheni kulala...Bukoba iwe kama Davos
 
Back
Top Bottom