Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
Man kwa chato sijuia kama ulishawahi kufika,,suala la hospital na uwanja wa ndege na chuo cha VETA na Sido Tena kwa wailya amabyo Iko densely populated sion ubaya.mradi wa kukurupuka ulije ga ungesema stend ya mabasi hapo saw
 
samia anajua muda wowote muungano utavunjika kwa hiyo anafanya hivyo ili hata likitotokea la kutokea awe ameshajenga kwao maana sidhani kama atafanikiwa kupita tena awamu ijayo
Akipitishwa na chama, lazima atakuwa raisi tu.
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
Man kwa chato sijuia kama ulishawahi kufika,,suala la hospital na uwanja wa ndege na chuo cha VETA na Sido Tena kwa wailya amabyo Iko densely populated sion ubaya.mradi wa kukurupuka ulije ga ungesema stend ya mabasi
 
Kwamba kila Rais atakaye ingia madarakani nyumbani kwao inapelekwa miradi mikubwa bila kufanya utafiti wa kutosha wa mahitaji kwa fedha za walipa kodi hawa masikini.

Matokeo ni kuwa wanapo ondoka madarakani inageuka kama ile ya nyumbani kwa Mobutu maana ilikuwa kukurupuka.

Tumeona speed ya Chato kuibadili katika miaka mitano. Kuna vitu vilifanywa ambavyo sasa imegundulika ni matumizi mabaya ya rasilimali kwa ukubwa usio stahili.

Mfano Airport, Referral Hospital hadi majengo makubwa kama mabenki yasiyo stahili na mbuga za wanyama zisizo hadhi. Leo vyote vinakufa.

Sasa leo tumeanza na Kizimkazi! Miradi mingi inapelekwa kwa fedha zetu (tena za Bara kwa maeneo yanayostahili SMZ) nje ya budget kuu huku shughuli hizo zikichagizwa na mbwembwe nyingi za wasanii.

Hatubweki kama mbwa kuhusu maendeleo hayo bali ni utamaduni mbaya, maendeleo ni mipango na kupanga ni kuchagua, wehu ni pale unapochagua kununua Suti toka Piccadilly badala ya kununua godolo la kulalia kwanza.
Hayo ni matokeo ya kuongozwa na mbwa wapumbavu
 
Inashangaza sana kwa kweli hata Mkwere na Hakufanya haya Msoga aliona apaache tu pawe pa kawaida leo Kila Kitu ni Kizimkazi tunajenga culture mbovu ila huu ni muendelezo wa Chato juzi nilisema saivi wachunga Ngombe wa chato wamesahaulika hakuna Mtendaji hata mmoja anaewaza ku reallocate hela iende kufanya Kitu chato wakati kipindi kile kila mtu anapambana Kuipa chato funds ili aonekane na Mkuu wa Nchi now mambo yamehamia Zanzibar Sisi yetu macho
Wajinga ni wabunge wetu...lao kujipendekeza Kila kitu SSH
 
Yani pesa za kwetu na bado anatuzodoa kabisa bila aibu aisee shetani alituweza kutuwekea hili balaa pale 😆😆😆
 
Uliza bajeti inayoenda zanziba kutoka Tanganyika ni asilimia ngap kisha wianisha na idad na ukubwa wa zanziba na percent inayobaki bara linganisha na ukubwa wa tanganyika na idadi ya watu utagundua kwa nini tanganyika miradi ya maendeleo imesimama wakati zanzibar miradi inaendelea
 
Zaidi ya hadithi ni kipi ambacho Magufuli alikifanya Chato kwa hela za serikali ambacho hakukifanya kwengine Tanzania.

Hadithi za upendeleo wa Chato zipo kwenye vichwa vyenu tu.

Ulishawahi sikia tamasha la Chato.

Magufuli hana mradi wa kupendelea Chato kwa hela za serikali; hoja pekee labda sio hata uwanja wa ndege (maana ni wa hovyo tu) labda runway yake inavyoweza pokea ndege kubwa.

Magufuli na Samia ni watu wawili tofauti.

Put respect on Magufuli’s name sio wa kulinganishwa na viongozi wenu wa hovyo.
Wewe sasa unaleta ushabiki wa wazi, Mimi naunga mkono hoja haya mambo ya kufanya nyumbani kuwa kipaumbele sio sawa ni makosa makubwa labda ikiwa tu gharama za sherehe hazitoki serikalini zinachangiwa na watu tu, hapa nasema kama lakini kiujumla ni jambo baya halina tija wala muendelezo. JPM katika hili ndio kabisa alifanya mambo ya ajabu Chato, Runaway, mataa ya barabarani(Gari hakuna), ma bank na kutaka kugawa eneo la Kagera liingie Chato. Kiujumla tukemee yote yaliyofanywa na yanayofanywa kesho atakuja Rais kutoka Mara tutahamia Mara. JPM alikosea na mwanafunzi wake anakosea unless otherwise waseme hakuna cent ya serikali imetumika.
 
Alikuwa changamoto kwa watu ambao mlidhani kuna vitu haviwezekeni kwa nchi ambayo IMF na WB wanasema ni maskini.

Magufuli akawaonyesha Tanzania inaweza sasa hivi mnajisifia ni akili zenu.

Magufuli alikuwa wa level zingine na mapoyoyo yenu.
umesema ukweli halisi lakini wanafiki huwa wanavaa miwani ya mbao na kujifanya hawaoni na kujifanya kama chura kiziwi na kujifanya hawasikii lakini ukweli wanaujua
 
Umeandika ujingaujinga.
Kwakuwa mawazo hayo yanatoka kwa mfuasi wa cult ya Mbowe (kwa sasa CDM sio chama cha siasa, given financial abuse za Mbowe).

Sasa taasisi yenye kiongozi ambae ni abusive waziwazi, hiyo cult yenye blind supporters.

Mwanachama wa cult yoyote ameharibiwa kifikra kuona tofauti na mawazo ya limbwata aliyolishwa.

Ndugu Magufuli alibarikiwa kuweka mchango wake na kaondoka kwa kuacha alama.

Mengine ni wanga tu kama nyie, hakuna alichofanya Chato ambacho hakufanya kwenye wilaya luluki kwa hela za watanzania.

Ni ngumu sana cult members wa Mbowe kuelewa hayo, Magufuli was heaven sent in Tanzania.
 
Kwakuwa mawazo hayo yanatoka kwa mfuasi wa cult ya Mbowe (kwa sasa CDM sio chama cha siasa, given financial abuse za Mbowe).

Sasa taasisi yenye kiongozi ambae ni abusive waziwazi, hiyo cult yenye blind supporters.

Mwanachama wa cult yoyote ameharibiwa kifikra kuona tofauti na mawazo ya limbwata aliyolishwa.

Ndugu Magufuli alibarikiwa kuweka mchango wake na kaondoka kwa kuacha alama.

Mengine ni wanga tu kama nyie, hakuna alichofanya Chato ambacho hakufanya kwenye wilaya luluki kwa hela za watanzania.

Ni ngumu sana cult members wa Mbowe kuelewa hayo, Magufuli was heaven sent in Tanzania.
Another trash from a blinded chap!Have you ever seen my(if any) membership card narrating your blurred mind?
 
Hayati mzee mwinyi alisema hivi siku ya kuaga mwili wa hayati JPM "magufuli kwa miaja mitano amefanya mambo yaliyoshindikana kwa kipindi cha miaka 50 ya uhuru" mzee mwinyi hakuwa mnafiki. Leo hi hakuna kinachofanyika na watu wanasifu na kuabudu
 
Wewe sasa unaleta ushabiki wa wazi, Mimi naunga mkono hoja haya mambo ya kufanya nyumbani kuwa kipaumbele sio sawa ni makosa makubwa labda ikiwa tu gharama za sherehe hazitoki serikalini zinachangiwa na watu tu, hapa nasema kama lakini kiujumla ni jambo baya halina tija wala muendelezo. JPM katika hili ndio kabisa alifanya mambo ya ajabu Chato, Runaway, mataa ya barabarani(Gari hakuna), ma bank na kutaka kugawa eneo la Kagera liingie Chato. Kiujumla tukemee yote yaliyofanywa na yanayofanywa kesho atakuja Rais kutoka Mara tutahamia Mara. JPM alikosea na mwanafunzi wake anakosea unless otherwise waseme hakuna cent ya serikali imetumika.
Mleta mada kwenye kuponda kwake Kizimkazi festival katumia mfano wa Magufuli.

Wewe nae mtetezi wa Kizimkazi festival unatetea kwa kumponda Magufuli.

Ni hivi kwenye maamuzi yenu ya kipumbavu leo au yenye tija kwa mtazamo wenu (kwanini justification) ya maamuzi kuwa right or wrong lazima mumuhusishe Magufuli.

Kwanini msiseme hiyo Kizimkazi festival ina manufaa kwa sababu abc za uchumi wa Tanzania au aifai kwa sababu abc.

Magufuli anaingia vipi kwenye maamuzi ya kipumbavu au yenye faida leo.
 
Another trash from a blinded chap!Have you ever seen my(if any) membership card narrating your blurred mind?
Kujibizana na cult member wa Mbowe ni kupoteza muda.

Chadema sio chama cha siasa tena ni cult (only a cult can has unquestioning supporters) on their leaders decisions.

Sasa kueleweshana na mfuasi wa cult ya Mbowe huko ndio kutwanga maji kwenye kinu.
 
Mleta mada kwenye kuponda kwake Kizimkazi festival katumia mfano wa Magufuli.

Wewe nae mtetezi wa Kizimkazi festival unatetea kwa kumponda Magufuli.

Ni hivi kwenye maamuzi yenu ya kipumbavu leo au yenye tija kwa mtazamo wenu (kwanini justification) ya maamuzi kuwa right or wrong lazima mumuhusishe Magufuli.

Kwanini msiseme hiyo Kizimkazi festival ina manufaa kwa sababu abc za uchumi wa Tanzania au aifai kwa sababu abc.

Magufuli anaingia vipi kwenye maamuzi ya kipumbavu au yenye faida leo.
1- Kwanza wapi nimesifia Kizimkazi, nimeandika kupinga yote.
2- Mtoa mada kasema yale ya Chato yanajirudia Kizimkazi, yes kasema ukweli 100% aliyofanya JPM na Rais Samia anafanya.

Kwanini JPM asiguswe, yako mazuri mengi aliyafanya na yako kama binadamu alikosea. Hapa tunaongelea yaliyofanywa Chato na JPM mpaka viongozi kiserikali walikuwa wanatua na ndege Chato na Rais Samia anayafanya yale yale kupokea wageni Kizimkazi. Yote ni makosa. Hata Kikwete alipendelea Msoga sana tu.
 
Alikuwa changamoto kwa watu ambao mlidhani kuna vitu haviwezekeni kwa nchi ambayo IMF na WB wanasema ni maskini.

Magufuli akawaonyesha Tanzania inaweza sasa hivi mnajisifia ni akili zenu.

Magufuli alikuwa wa level zingine na mapoyoyo yenu.
Ni mtazamo wako mkuu, kwangu alikuwa hayuko strategic kabisa
 
Back
Top Bottom