Pre GE2025 Tunajenga Utamaduni mbaya, tulianzia Chato sasa ni Kizimkazi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ubarikiwe sana! Nadhan ni bora wangekuwa wanamrefer kikwete ingependeza zaidi. Au kikwekwete hana alilofanya?
 
Ni walewale tu.
 
Naona unaipenda sana CHADEMA. Haijaguswa CHADEMA,wewe ni Mbowe na CHADEMA. Sasa nitakueleza kitu.Mimi ni CCM damu.Acha wewe kiherehere tu.Kwenye ujingaujinga nitasema muda wote.Elewa hilo.Sina tabia ya kuremba mwandiko kwenye taarifa za misiba.
 
Ubarikiwe sana! Nadhan ni bora wangekuwa wanamrefer kikwete ingependeza zaidi. Au kikwekwete hana alilofanya?
Si ndio hapo, watu wote hawafai kwao zaidi ya Magufuli.

Yaani kwenye kutafuta binary opposite. Wanaosifu na wanaoponda case study yao ya justification ni Magufuli.

Bizzare
 
Siku nchi ikipata akili pengine labda mimi na wewe tusiwepo ipo wahusika watajua pa kuanzia.

Kwa Tanzania hakuna namna nyingine zaidi ya njia aliyoanza nayo Magufuli.

Hakuna
Alikuwa na uthubutu ambayo ilikuwa ni sifa muhimu sana. Lakini kwa makusudi au bahati mbaya, alifanya makosa mengi sana ambayo yangelifanya juhudi zake zisiwe endelevu. Mojawapo ni la kuifanyia figisu sekta binafsi.
 
Unabwabwaja tu bila hata kuitaja miradi hiyo
 
Bora ajenge bongo kuliko kupeleka hela ulaya
 
Huyu mama hatifautiani sana na Magufuli.
 
Tuna viongozi wa kijinga sn, Kwanini Nyerere na Mkapa hawakuwa na huu ujinga wa kupendelea wanakotoka?
 
 
Magu ndio muasisi wa haya makitu, ukimpenda Magu huna haja ya kumchukia huyu. Ni walewale kasoro jinsia.
 
Kila kiongozi akianza kuelekeza rasilimali za nchi kwao si sawa. Ni wakati sasa unafaa sheria itungiwe mambo hayo na hasa kuwekwa kwenye Katiba mpya.
 
Tutafika tumechoka sana...hawajifunzi kulingana na makosa, sasa hivi Kizimkazi imekua ndo habari ya mjini...watu weusi tunamatatizo sana.
Kule idada ya wananchi Haiti elf 2
 
Unaposoma habari yeyote na kutaka kuipa maoni yako angalia kwanza inahusiana na nini.
Hii inahusiana na "Utamaduni unaojengeka wa maamuzi makubwa walipotokea viongozi bila kufanya tafiti"
Rudi tena soma kwa picha hiyo utaelewa, hakuna anayekataa maendeleo bali isiwe miradi kama ile ya nyumbani kwao Mobutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…