Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

Nyinyi ni maua yetu sisi hivyo ni lazima muwe kama sisi tunavyo pendezwa kuwaona. Sasa mnataka muwe kama mnavyo hitaji nyie. Mwisho wa siku tunapoteza ule uzuri tulokua tunauhitaji kuuona.

Binafsi sipendi mwanamke anayejikwangua/ kujipara mnoo. Mnapoteza uhalisia wenu nyie. Acheni hayooo
 
Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.

Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!

Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.

Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.

Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.

Atakaye kasirika anye tikitiki.
Mkuu umenena vyema kabisa. Hujakosea. Hayo mambo yanatuharibia maua yetu haya..
 
Kinachowaumiza wanaume ni ndoa kuvunjika
zikiwa kwenye upya wake yaani miezi 3(umri mchanga)
ndoa kwishney,Unakuta mtu katinga mchina
kuanzia kichwani mpaka miguuni.
mtu anaingia mkenge anaona mke
si ndo huyu,mkiingia ndani kwenye ndoa
(Hapa naongelea wasiotaka habari za shake before use) nadhani naeleweka
Mke akisaula mapambo yote anakutwa....malizia wewe
Hapooooo ndo penye shida tu.
sina ugomvi na warembo,endeleene kupendeza ki-original
 
Mnajiremba mnakua kama majini. Ndo maana kwa TB Joshua wenye kuvaa mawigi waanguke mapepo.

Mawigi yana matatizo si bure
 
vlad jaman nimechekaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii yaan jaman najuta kusoma hiii eti mtoto wa jini !hahhahahahhhahaaahhahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli Mbitiyaza ,yaaan weee ushukuru kwa uzuri wako ulopewa ,,mtoto sura suraaaahhh ,,kiuno kidogo ,,, mihipsi sasa iyooooo ,,mikalioooo mamaaaaaa ,,, Guu sasaaa hatareee nizaidi ya biaaaa ,,, kifuani sasa ndo umeumbika aiseee chaaaaaaaaaa jaman weeeee kuna wanawake mmeumbika MBITIYAZA nakuheshimu sanaaaaaa mamaaaaàa .uwiiiiiiiiiiii..... Yaaaan sasa wewe usipojiremba bado nikifaaaaaaa yaaan nikikuonaga unapita Mzeee anasumbuaaaaa ,, ukijiremba ndo kabisaaaaaaa cheeeeeeeeeee ,,,, ndio maana nilishakuapia.[emoji160] [emoji160]


Ngoja niishie hapa .[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
mnajiremba kwa pesa zenu ama ela mnazohongwa na vibabu?
 
Unaposema mnatumia pesa zenu hapo ndio tatizo linapoanzia maana ni uongo ulioshiba [emoji23][emoji23]
 
Kweli Mbitiyaza ,yaaan weee ushukuru kwa uzuri wako ulopewa ,,mtoto sura suraaaahhh ,,kiuno kidogo ,,, mihipsi sasa iyooooo ,,mikalioooo mamaaaaaa ,,, Guu sasaaa hatareee nizaidi ya biaaaa ,,, kifuani sasa ndo umeumbika aiseee chaaaaaaaaaa jaman weeeee kuna wanawake mmeumbika MBITIYAZA nakuheshimu sanaaaaaa mamaaaaàa .uwiiiiiiiiiiii..... Yaaaan sasa wewe usipojiremba bado nikifaaaaaaa yaaan nikikuonaga unapita Mzeee anasumbuaaaaa ,, ukijiremba ndo kabisaaaaaaa cheeeeeeeeeee ,,,, ndio maana nilishakuapia.[emoji160] [emoji160]


Ngoja niishie hapa .[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]


jaman jaman ! kweli wanetu mmefikia kutuambia maneno ya ajabu kama haya? dah ! aiseee!
 
Wanaume naomba niwaulize kitu kimoja,

Kwanini mnaumia sana sisi kujiremba? Yaani nafanya kazi, natengeneza pesa, naenda saluni natengeneza nywele zangu, nabandika kucha, naweka kope zangu za bandia kwa pesa zangu. Mwanaume anatoka huko roho inamuuma eti "Akina dada wanajiremba sana, ooh sipendi wanawake wanaoweka weaving.. blah blah"

View attachment 595361

Jamani kwani mwili wako? Kwani pesa zako? Kwani mimi mwanamke wako? Kwani mimi ndugu yako?

Hebu tuacheni jamani, ni mapenzi yetu na gharama zetu.
KinacHoTuumiza Dada Yangu Ni Kitu Kimoja Tu !!!! HARUFU Yes HARUFU yani Harufu Ya "K'

1.KICHWA. Hayo Mawiving Mnayoshonea Na Urembo Mwingine Mkiingia Bafuni Mnakuwa Kama Mmeingia LABORATORY (principle) Mnaoga Baadhi Ya Sehemu Zingine Mnaziacha Kavu Kama Zilivyo Hyo HARUFU sasa

2.Kucha Za Ku paste me Siiti Za Kubandika Hivi Hiyo Kucha Ukiingiza Wakati Wa Kujisafisha Hivi Kweli Ina Pita Mmmh Mwisho Wa Siku Unabaki Na HARUFU Ya Kambale
" Urembo Hamkatazwi Ila Uwe Wa Kiasi Msizidishe Viungo Wanaume Tunahitaji Sana Uzuri Wa Ndani.»Wife Material «
 
Back
Top Bottom