Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,477
Mis you tooVip baby ney mis yu sana yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mis you tooVip baby ney mis yu sana yaan
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Mis you too
Jifariji tu sio mbaya.Hahahahahahah
Hakuna hii kitu ni wazi wanawake wote duniani wanajiremba kwa ajili ya wanaume mnavaa nguo nzuri ya ajili yetu mtuvutie .hahahahah
Kwa kifupi mpo kwa ajili yetu sio sisi kwa ajili yenu yaani mpo kwa ajili ya kukutimizia mahitaji yetu ya deep down
Jamn wewe ni muhenga 100%Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.
Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!
Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.
Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.
Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.
Atakaye kasirika anye tikitiki.
Sawa Baby ila sio woteWanaume njoeni huku mpate ujumbe wenu [emoji28]
Kwa coment hii motoni wewe utakuwa kuni za kutuchoma wenye dhambi.Wewe ndo wale watu wa promotion tuko baa tunakunywa unakuja kutuuzia rozari. Sasa kimini kimekuja vipi wakati tunaongelea mapambo hapa?
Okey baby no problemSawa Baby ila sio wote
One loveOkey baby no problem
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.
Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!
Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.
Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.
Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.
Atakaye kasirika anye tikitiki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana mkuuKujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.
Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!
Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.
Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.
Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.
Atakaye kasirika anye tikitiki.