Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

Hahahahahahah

Hakuna hii kitu ni wazi wanawake wote duniani wanajiremba kwa ajili ya wanaume mnavaa nguo nzuri ya ajili yetu mtuvutie .hahahahah


Kwa kifupi mpo kwa ajili yetu sio sisi kwa ajili yenu yaani mpo kwa ajili ya kukutimizia mahitaji yetu ya deep down
Jifariji tu sio mbaya.
 
Sawa njoo kariokoo na kimini chako on foot ujue mwili ni wako au ni waTaifa
 
Kwani imekuwaje mipovu mingi mleta habari kapatwa au
 
Mnakuwa wabaya sasa, mnazidisha kujiremba sana si tumezoea tukiona mwanamke njiani unadinda kdg na kufurahi kimoyomoyo sasa matokeo yake mnakuwa mabayaaaa yani unamuona mwanamke ht usikii raha khaaa
 
Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.

Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!

Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.

Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.

Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.

Atakaye kasirika anye tikitiki.
Jamn wewe ni muhenga 100%
 
Natural is where real beauty is.
Kuweni natural, sio kila kitu FAKE, yani kope FAKE, kucha FAKE, nyusi FAKE. Hadi papuchi FAKE.
 
Sawa kama uzuri unao sasa hayo makolokolo yote uliyoyataja yote yanini na unajiremba iri iweje mtoto wakike umeumbika vizuri saana acha namakolokolo wee mzuri tuu
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Mwajiremba au mwajikoboa?
 
Sawa njoo kariokoo na kimini chako on foot ujue mwili ni wako au ni waTaifa
Wewe ndo wale watu wa promotion tuko baa tunakunywa unakuja kutuuzia rozari. Sasa kimini kimekuja vipi wakati tunaongelea mapambo hapa?
 
Wewe ndo wale watu wa promotion tuko baa tunakunywa unakuja kutuuzia rozari. Sasa kimini kimekuja vipi wakati tunaongelea mapambo hapa?
Kwa coment hii motoni wewe utakuwa kuni za kutuchoma wenye dhambi.
 
Hayaa lakin kuna wanawake wanajipodoa utafikiri hatopaka tena vipodozi
 
Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.

Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!

Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.

Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.

Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.

Atakaye kasirika anye tikitiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti tikitiki
Na hatukasiriki ng'oo [emoji125][emoji125]
 
Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.

Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!

Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.

Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.

Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.

Atakaye kasirika anye tikitiki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana mkuu
 
Siku mama Danny akijaribu ujinga huu kama sio kumrudisha kwa baba yake basi atajikuta kijijini kwa bibi yake akimfundisha urembo mzuri kwa mwanamke!
6f33ccbed800fbccf8bf555a5949ee9d.jpg
 
Siku mama Danny akijaribu ujinga huu kama sio kumrudisha kwa baba yake basi atajikuta kijijini kwa bibi yake akimfundisha urembo mzuri kwa mwanamke!
6f33ccbed800fbccf8bf555a5949ee9d.jpg
Hebu cheki jicho hilo.....jhomoniiiiiii
 
Back
Top Bottom