Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu umenena vyema kabisa. Hujakosea. Hayo mambo yanatuharibia maua yetu haya..Kujiremba sawa mjirembe maana mnatuvutia but soooooo!!!!! Feki kwa kweli kama unataka nywele ndefu basi zifuge weka dawa za kurefusha unataka kucha ndefu fuga but uwe msafi msitulishe maviiiiii.
Kina chokora ni ufeki ufeki mnasuka mikatani kichwani nywele za watu waliokufa minywele inakaa mwezi mzima kichwa na kichwa hakioshwi hadi yatoke kutwa nzima kujikunakuna tu kichwa na makucha marefu Daaaah aaarghhh!!!
Wengine sasa wanapaka milipstiki, mimekapu wanatoka utadhani jini Maimuna au katuni fulani hivi amaizing!!!! Hahahahahah wanawake Mnatabu sana.
Napenda mwanamke alie nachuro na urembo kidogo tu ila sio kama watu fulani yaani ukimwona unatamani utapike.
Wanawake mniwie radhi ila ukweli lazima usemwe hata kama hamtaki.
Atakaye kasirika anye tikitiki.
Hahhaahah[emoji23]Nimetupa jiwe gizani na limempata mhusika
Kweli Mbitiyaza ,yaaan weee ushukuru kwa uzuri wako ulopewa ,,mtoto sura suraaaahhh ,,kiuno kidogo ,,, mihipsi sasa iyooooo ,,mikalioooo mamaaaaaa ,,, Guu sasaaa hatareee nizaidi ya biaaaa ,,, kifuani sasa ndo umeumbika aiseee chaaaaaaaaaa jaman weeeee kuna wanawake mmeumbika MBITIYAZA nakuheshimu sanaaaaaa mamaaaaàa .uwiiiiiiiiiiii..... Yaaaan sasa wewe usipojiremba bado nikifaaaaaaa yaaan nikikuonaga unapita Mzeee anasumbuaaaaa ,, ukijiremba ndo kabisaaaaaaa cheeeeeeeeeee ,,,, ndio maana nilishakuapia.[emoji160] [emoji160]vlad jaman nimechekaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii yaan jaman najuta kusoma hiii eti mtoto wa jini !hahhahahahhhahaaahhahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli Mbitiyaza ,yaaan weee ushukuru kwa uzuri wako ulopewa ,,mtoto sura suraaaahhh ,,kiuno kidogo ,,, mihipsi sasa iyooooo ,,mikalioooo mamaaaaaa ,,, Guu sasaaa hatareee nizaidi ya biaaaa ,,, kifuani sasa ndo umeumbika aiseee chaaaaaaaaaa jaman weeeee kuna wanawake mmeumbika MBITIYAZA nakuheshimu sanaaaaaa mamaaaaàa .uwiiiiiiiiiiii..... Yaaaan sasa wewe usipojiremba bado nikifaaaaaaa yaaan nikikuonaga unapita Mzeee anasumbuaaaaa ,, ukijiremba ndo kabisaaaaaaa cheeeeeeeeeee ,,,, ndio maana nilishakuapia.[emoji160] [emoji160]
Ngoja niishie hapa .[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Heeeeee naomba yaishie hapa....jaman jaman ! kweli wanetu mmefikia kutuambia maneno ya ajabu kama haya? dah ! aiseee!
Heeeeee naomba yaishie hapa....
Heeee yaishe ,,hata Mimi Nina MKE HUMU HUMU .huwez amni nimeishi kukushangaa mdg wangu !hv hujui nina mume humu!
Heeee yaishe ,,hata Mimi Nina MKE HUMU HUMU .
Hilo ndo neno banaa.hahahahahaahahahahhahahahahah ! yaishe basi !msalimie wifi
KinacHoTuumiza Dada Yangu Ni Kitu Kimoja Tu !!!! HARUFU Yes HARUFU yani Harufu Ya "K'Wanaume naomba niwaulize kitu kimoja,
Kwanini mnaumia sana sisi kujiremba? Yaani nafanya kazi, natengeneza pesa, naenda saluni natengeneza nywele zangu, nabandika kucha, naweka kope zangu za bandia kwa pesa zangu. Mwanaume anatoka huko roho inamuuma eti "Akina dada wanajiremba sana, ooh sipendi wanawake wanaoweka weaving.. blah blah"
View attachment 595361
Jamani kwani mwili wako? Kwani pesa zako? Kwani mimi mwanamke wako? Kwani mimi ndugu yako?
Hebu tuacheni jamani, ni mapenzi yetu na gharama zetu.
We do it for us, and for our fellow women.Mnajiremba kwa ajili ya nan kama sio sisi!