Ahahahaaaaaa daah haya banahMimi sasa hivi nata nionekana mzuri Kwa wanawake halafu ntakua nawachinja kimya kimya. Hata wakifanya mambo ya hovyo ntasifia, wakipotoka ntawaunga mkono. Mimi huwa nashindwa Kuvumilia huu upuuzi wa mawigi kitu ambacho kinanikosanisha na Marafiki. Sasa nmejifunza mwendo Mdundo kila kitu sawa..sawa...sawa...ili warembo wafurahi nami nianze kusifiwa na Kumissiwa. I miss you figganigga leo nimebadika kucha na wigi na makeup, nmependeza sana.. Nasema umependeza sana, pembeni nang'ong'a na kutema mate bora liende.
HahahahahahahWe do it for us, and for our fellow women.
Ahahahaaaaaa daah haya banah
Ndio hivyo maisha kuvumiliana tuu, ambacho hukipendi mwenzio anakipenda, ukipendacho wewe mwenzio hakipendi.Alibandika kucha, sasa kucha zake za asili zimeanza kung'oka. Na sasa hivi mpenzi wake ndo anamuuguza na kumpelekea juice na kumpa pole. Mara ya kwanza alimkataza asibandike kucha akamjibu majibu ya ajabu.
Basi semeni tuvumiliane sio mseme mnajiremba kwa hela zenu.Ndio hivyo maisha kuvumiliana tuu, ambacho hukipendi mwenzio anakipenda, ukipendacho wewe mwenzio hakipendi.
Nirushie ya LUKUUna cha kupigiwa kibomu nawe? Hebu acha hashuo
ETI WANAJIREMBA KWA PESA ZAO,VIBOMU KILA SIKU VYA NINI SASA??!!
Hahahaa.Mbavu zanguNa mnapoumia kwa VIBAMIA vyetu huwa inakuwa ni nini?
Kuna vya kuvumulia, halafu kuna idadi ya kuvumilia, mwisho 7 X 70 tu ... unapotaka uvumiliwe ya ya 8 X 70 au mara ya 7 X 71 ni shida..Ok pole sana, next time atajitahidi kuuliza kwa weledi. Ila na wewe uwe mvumilivu maana hata kumuelewa pia ni uvumilivu, tuvumiliane tuu hakuna namna.
Vumilia maana ndo ukweli wenyeweHahahaa.Mbavu zangu
Wanaume naomba niwaulize kitu kimoja,
Kwanini mnaumia sana sisi kujiremba? Yaani nafanya kazi, natengeneza pesa, naenda saluni natengeneza nywele zangu, nabandika kucha, naweka kope zangu za bandia kwa pesa zangu. Mwanaume anatoka huko roho inamuuma eti "Akina dada wanajiremba sana, ooh sipendi wanawake wanaoweka weaving.. blah blah"
View attachment 595361
Jamani kwani mwili wako? Kwani pesa zako? Kwani mimi mwanamke wako? Kwani mimi ndugu yako?
Hebu tuacheni jamani, ni mapenzi yetu na gharama zetu.
Ok sawa hamna nenoKuna vya kuvumulia, halafu kuna idadi ya kuvumilia, mwisho 7 X 70 tu ... unapotaka uvumiliwe ya ya 8 X 70 au mara ya 7 X 71 ni shida..
Ok asanteh sana.Asante mkuu, nawe nivumilie pia. "Tuvumiliane".
Si kweli...tunafanya kwa ajili yetu wenyewe...Hahahahahahah
Hakuna hii kitu ni wazi wanawake wote duniani wanajiremba kwa ajili ya wanaume mnavaa nguo nzuri ya ajili yetu mtuvutie .hahahahah
Kwa kifupi mpo kwa ajili yetu sio sisi kwa ajili yenu yaani mpo kwa ajili ya kukutimizia mahitaji yetu ya deep down
Vip baby ney mis yu sana yaanWanaume njoeni huku mpate ujumbe wenu [emoji28]