Tunajiremba kwa pesa zetu, kinachowaumiza wanaume ni kipi?

Ahahahaaaaaa daah haya banah
 
Nakumbuka mwaka jana nilisafiri kwenda kwenye hilo jiji la bashite,basi bhana nilibahatika kukaa seat moja na binti mmoja, ni mzuri kwa kweli ila ss kilichonichefua kwake ni kiharufu kilichokuwa kinatoka kwenye hayo manywele(wigi),kwakweli sikupata hata hamu kumtongoza,tumefika ubungo tukabadilishana baada kama siku akaanza kunisumbua mara upo wap nije kukusalimia ila ss nikifikiria kile kiharufu inabid nimdanganye nipo busy
 
We do it for us, and for our fellow women.
Hahahahahahah

Hakuna hii kitu ni wazi wanawake wote duniani wanajiremba kwa ajili ya wanaume mnavaa nguo nzuri ya ajili yetu mtuvutie .hahahahah


Kwa kifupi mpo kwa ajili yetu sio sisi kwa ajili yenu yaani mpo kwa ajili ya kukutimizia mahitaji yetu ya deep down
 
Ahahahaaaaaa daah haya banah

Alibandika kucha, sasa kucha zake za asili zimeanza kung'oka. Na sasa hivi mpenzi wake ndo anamuuguza na kumpelekea juice na kumpa pole. Mara ya kwanza alimkataza asibandike kucha akamjibu majibu ya ajabu.
 
Alibandika kucha, sasa kucha zake za asili zimeanza kung'oka. Na sasa hivi mpenzi wake ndo anamuuguza na kumpelekea juice na kumpa pole. Mara ya kwanza alimkataza asibandike kucha akamjibu majibu ya ajabu.
Ndio hivyo maisha kuvumiliana tuu, ambacho hukipendi mwenzio anakipenda, ukipendacho wewe mwenzio hakipendi.
 
Ok pole sana, next time atajitahidi kuuliza kwa weledi. Ila na wewe uwe mvumilivu maana hata kumuelewa pia ni uvumilivu, tuvumiliane tuu hakuna namna.
Kuna vya kuvumulia, halafu kuna idadi ya kuvumilia, mwisho 7 X 70 tu ... unapotaka uvumiliwe ya ya 8 X 70 au mara ya 7 X 71 ni shida..
 
Pesa zenu [emoji35] wakati mnatuomba sisi pesa
 

it's not my problem hata ukijipaka kinyesi lakini kuna shida mbili.
1. you are a bad influence to our young daughters who cannot tell left from right and they might thing kujipaka kinyesi ni umaridadi
2. and most important we take you for cheap sex dolls in that state. shida inakuja when I treat you like a sex doll unasema I am a sex doll on my own bill. sex dolls are to be treated like sex dolls problem comes when you push me away when I try to treat you like a sex doll.
 
Si kweli...tunafanya kwa ajili yetu wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…