sadi msita
Member
- Mar 10, 2013
- 30
- 24
Wahenga wanasema ukishirikiana na dhaifu na wewe unakuwa dhaifu au ukishirikiana na professional failure you turn to na hapa Tanzania vyama vya upinzani vimeonesha kuwa ni dhaifu na failure kwa miaka mingi na jinsi jpm anavyofanya kazi tunajua nini kitatokea so tukutane tushangilie huku tukisubili shangwe huko October mwaka huu maana huu ni mwaka wa uchaguzi.
Ndio ni mwaka wa uchaguzi na ukweli ni kuwa ilani tuliyomkabidhi magufuli imesha kamilika mpaka Leo 1/1/2020 na tuone sasa ipo haja ya kukutana na kujipomgeza kwa kazi kubwa aliyofanya maana haikuwa rahisi.
Yeye ni mwanadamu yawezekana kuna sehemu alijikwa na kutukwaza Ila kwa kuwa hatukumchugua malaika ni vema sasa yukaungana naye pia kumpa kura za ndio
Kila sekta iko poa hatukufanya kosa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mshindi tayari mbona mwahangaika sasa? Tulia siku ifike appishwe tu, wewe endelea na mambo yako binafsi mkuu.Hakuna mada kubwa mwaka huu zaidi ya uchaguzi na jpm ndio mshindi
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamtenganishaje JPM na watendaji wake ambao wengine ni wateuzi wake? Na yeye atakuwa na tatizo na kubwa zaidi hawataki kuweka mfumo sahihi wa kiutendaji, kutwa inabaki show ya mkulu tu..Sina Shida na Magufuli nina shida na watendaji wake Alikuja Makame Mbalawa Gairo akatudanganya tarehe 15/11/2019 mradi wa maji ya visima virefu vilivyo tumia Mabilioni ya pesa na Mabilioni ya nyongeza utakuwa umekamilika mpaka leo Tupo 2020 imekuwa Historia na hili analijua hataki hata kufuatilia umekwamia wapi. So sina Shida na Magufuli ni mchapakazi tatizo watendaji wake.
Haisaidiii maana walikonaye ni mamilionikweli nilikusudia kumpa ngosha kura yangu 2020 kwakuwa nilivutiwa sana na kasi yake ktk miradi ya maendeleo BUT nitamnyima kura yangu kwasabb ya kutaka kuua mfumo mzuri wa vyama vingi nchini ulioanzishwa mwaka 1993...mfumo muhimu sana unaoruhusu ukosoaji kwa yeyote aliyeko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikimbia naona mnampango wa kukimbia na huuNani kakuambia kutakuwa na uchaguzi. Yale yaliyofanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa yatafanyika Tanzania nzima kwenye uchaguzi mkuu.. CCM ilianza kufanya majaribio kwenye uchaguzi mdogo wa Ubunge Korogwe 2018 ikafanikiwa, then ika apply kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ikafanikiwa. Mh rais mwenyewe alishasema by 2020 hakutakuwa na chama cha upinzani. Mbowe mwenyewe alishasema vipaumbele vyao si udiwani, ubunge au urais, bali ni uhuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajengea kisarawe
Ule mradi soon maji yatatoka usiwe na hofuSina Shida na Magufuli nina shida na watendaji wake Alikuja Makame Mbalawa Gairo akatudanganya tarehe 15/11/2019 mradi wa maji ya visima virefu vilivyo tumia Mabilioni ya pesa na Mabilioni ya nyongeza utakuwa umekamilika mpaka leo Tupo 2020 imekuwa Historia na hili analijua hataki hata kufuatilia umekwamia wapi. So sina Shida na Magufuli ni mchapakazi tatizo watendaji wake.
Yeah well said Mpwa! Kasaini cheque ya rent au bado unaishi kwa wazazi?
Eti very soon, labda mtoe mkojo au machozi....hizi sio enzi za kudanganya tena!!
Danganywa
Bado unazungusha mikono na kudeki lamiEti very soon, labda mtoe mkojo au machozi....hizi sio enzi za kudanganya tena!!
Wewe utaishi mileleNgoja kakiberiti kazime! Heheheee! Mnavyojiwekea uhakika utadhani mna mkataba wa UZIMA na Mungu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siishi milele! Ila inatakiwa useme "panapo majaliwa ya Mungu/uhai ukiwepo etc..".. Sasa unasema nitampigia kura Magufuli; je hujui kama anakakiberiti kwenye moyo? Kakikataa je? [emoji3][emoji3][emoji3]