the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
Kura yangu na ya familia yangu yote na ukoo wangu wote anazo JPM 2020 - 2025 [emoji1241][emoji818]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hujazaliwa. Usinijibu.
Asante sana mpaka hapa jpm for lifeKura yangu na ya familia yangu yote na ukoo wangu wote anazo JPM 2020 - 2025 [emoji1241][emoji818]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchaguzi uliopita nilimpa Kura 3 technically....awamu hii must be 10Kura yangu na ya familia yangu yote na ukoo wangu wote anazo JPM 2020 - 2025 [emoji1241][emoji818]
Sent using Jamii Forums mobile app
My God huyu jamaa sio size yenu ,ubunge tu amepita bila kupingwa Mara zoteKatika kitu ambacho magufuli kina mkosesha raha ni kitu kinaitwa uchaguzi.
Kiukweli hana bahati ya kushinda na sijui kama kuna uchaguzi amewahi kushinda.
Maana pamoja na kelele zote na kampeni alizopiga kwa miaka 4 lakini bado haamini kwamba hakubaliki.
Ametumia kila mtu , jana nimeona amepiga simu kwa diamond usiku, yote haya ni kuhangaika na wanachi ambao pengine hawana habari na mambo ya ndege etc
Kama kweli yeye ni jembe , mawazo ya kuiba kura yanatoka wapi.
Mbona anakua kana kwamba amejipanga kushindwa?
Tatizo lipo wapi? Au kwa vile anatambua mambo maovu ambayo wananchi bado yapo miogoni mwao .
Uchaguzi ukiwa huru na haki ccm hairudi madarakani .
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh you made itUchaguzi uliopita nilimpa Kura 3 technically....awamu hii must be 10
Jamaa kasema ukweli, ni dhambi kubwa sana kumpa kura jiwe. Hakuna kuyumbisha maneno
My God huyu jamaa sio size yenu ,ubunge tu amepita bila kupingwa Mara zote
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Yangu tayariMagufuli tena, tena na tena.....2020 Ushindi Mapemaa.
Msimamo una mahala pake kama kwenye masuala ya kiiman huwezi kusingiza mambo ya msimamo kwenye siasa kufanya hivyo nikupotoka.