Uchaguzi 2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

Uchaguzi 2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

Anakusalimu.
tapatalk_1577354951190.jpeg


dodge
 
Kwa taarifa yako JPM haitaji kikura chako ki1...tena cha masimango

eti unajikomba kajenga ma-flyover kama ya Japan,Dubai na USA

mara maUbungo exchange ya hatariii

*weka na namba ya simu,maana atakupigia ukamwonyeshe hizo flyover za Dubai na exchange za hatari zilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako JPM haitaji kikura chako ki1...tena cha kinafiki mno na masimango

eti unajikomba kajenga ma-flyover kama ya Japan,Dubai na USA

mara maUbungo exchange ya hatariii

*weka na namba ya simu,maana atakupigia ukamwonyeshe hizo flyover za Dubai na exchange za hatari zilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa maji upunguze stress!
 
Sijamaliza kutaja mafanikio ya JPM, kwa mfano, Meli sijataja, kubadilisha Dodoma bado, Musoma nimeona traffic lights haijawahi kuonekana. Unaona!!!.Lazima nirudi
Sasa si umeshataja?Hizi dawa ni kuwachongea kwa mods hizi nyuzi ziunganishwe!Ngoja nianze!
 
Kwa taarifa yako JPM haitaji kikura chako ki1...tena cha kinafiki mno na masimango

eti unajikomba kajenga ma-flyover kama ya Japan,Dubai na USA

mara maUbungo exchange ya hatariii

*weka na namba ya simu,maana atakupigia ukamwonyeshe hizo flyover za Dubai na exchange za hatari zilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante, tukubaliane tu kwamba JPM ni noumer, habari za namba achana nayo
 
Sijamaliza kutaja mafanikio ya JPM, kwa mfano, Meli sijataja, kubadilisha Dodoma bado, Musoma nimeona traffic lights haijawahi kuonekana. Unaona!!!.Lazima nirudi
Mkuu uko vizuri. Itunze tu hiyo kura! Oktoba, 2020 sio mbali. Ukichukulia kuwa Wapinzani watasusia uchaguzi, 1000% Rais, Wabunge na Madiwani ni kwa CCM tu!
 
Back
Top Bottom