Uchaguzi 2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

Uchaguzi 2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

Ulishajiuliza hata siku moja ni kwa nini Magufuli anawaogopa wapinzani na hataki kabisa kuingia nao kwenye uchaguzi huru?.
 
Sawa,naona mipango ya kupata kura zote kwa kutumia wakurugenzi,tume nk umekamilika
 
Sasa bwashee kura zote,inamaana na mgombea wa upinzani atamchagua JIWE??
 
Kuna chama ukiwa humo hutakiwa kutumia akili kabisa kufikiri, hata kwa makalio unaweza kutumia kufikiri!
 
Kanywe supu kwenye hiyo buku7 ya Jana ndio uje hapa.
 
Magufuli atashinda vizuri mno tena kwa kura nyingi zaidi ya zile za 2015.
 
MKUU WA MKOA WA MANYARA KATANGAZA KUWA KWENYE MKOA WAKE HAKUTOFANYIKA UCHAGUZI JE LABDA HIZO NDIO MBINU ZA KUPATA KURA MAGU?



NA KAMA MNYETI KAANZA JUA NA MIKOA MINGINE ITAFATA MAANA KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MANYARA NDIO ULIKUA MKOA WA KWANZA MKUU WAKE WA MKOA KUTOA MAELEKEZO YA KUWAKATA WAGOMBEA WA UPINZANI NA NASKIA WASIMAMIZ WAKAAMBIWA WAKIWAPITISHA WATAENDA NAO MAJUMBANI MWAO

KWA HIZI MBINU CCM ITAPATA KURA ZOOTE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli kupata kura kama zote uchaguzi wa mwaka huu, 2020

Habarini ndugu zangu wana JamiiForums,

Poleni na majukumu ya kila siku, samahani sana kama nitawakwaza baadhi ya watu ndani ya jukwaa hili. Mimi ni kijana wenu mzalendo na mpenda maendeleo.

Ninawapenda sana viongozi waliobeba maono ndani ya mioyo yao. Nimekua nikifuatilia siasa za Tanzania kwa muda mrefu sana,

Lakini mpaka sasa sijaweza kumwona mtu wa kuweza kupambana na Rais Magufuri kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Wana JamiiForums walio wengi wamekuwa na shida ya mihemko ya kisiasa kwa muda mrefu sana.

Wamekuwa na zile siasa za kishabiki kana kwamba ni kama simba na yanga. Sifa za mtu kishabiki zinaeleweka, Mtu mshabiki huwa hawezi kuishughurisha akili yake kabisa, huwa hana uwezo wa kupima jambo, yeye hushabikia tu bila kureason. Sababu hizo ndizo zilizo nipelekea kuona ni bora tuwe na siasa ya chama kimoja kuliko siasa za vyama vingi vya kishabiki.

Nimejaribu kujifunza siasa za Marekani na bado naendelea kujifunza kwasababu, watu wa kule wanafanya siasa zinazojenga na sio za kishabiki. Tunataka siasa zinazojenga, siasa za maendeleo, siasa zinazozungumzia ni jinsi gani tunaweza kuibadilisha nchi yetu iwe kama Ulaya.

Sio siasa za matusi wala za kuleteana maneno ya kashifa. Kuna shida mahali kwa wanasiasa wa kileo, nafikiri hawana content za kutosha kichwani. Na Mara nyingi vile mtu aonavyo ndivyo alivyo.

Na mtu yeyote huyatoa yaliyo ndani ya hadhina yake. No positive content in the mind you will always provide negativity, maneno ya kuvunja moyo.

Ukiona uko hivyo ujue kuna shida kwenye content iliyopo ndani ya ubongo. Program ya ubongo wa mtu wa namna kama hiyo inakua haina mafaili ya positive words.

Naenda kumalizia hivi, kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 hayupo mtu mwenye ubavu wa kuweza kumshinda Rais Magufuli. Kwasababu washindani wake wamekosa sera, hawana Mikakati yeyote kuhusu nchi (No positive strategies) wao nikushabikia tu. Watanzania tunataka maendeleo, hatuhitaji porojo nyingi with zero action.

Tunataka tuone muonekano wa Tanzania unabadilika. Hatutaki maneno mengi, na afadhali yangekuwa mengi ila nayo ni matupu, Mara haki za binadamu mara sijui katiba.

Rais Magufuli anatutosha kwasababu ndiye yeye pekee aliye na uchungu na hii nchi huku wengine mmekalia kuirudisha nyuma nchi yetu. Mnawaza tu kuishitaki mara muende mahakamani mara sijui muende wapi, hamtufai kabisa.

Kama mtu unawaza tu kutukana kwenye mitandao Mara umkosoe Rais, wewe sio mzalendo wala hufai. Really you don't have positive strategies to our nations.

Watanzania wenye akili, wenye uwezo wa kupima mambo hawawezi kukuchagua, hata ubunge tukupatii. Kama unamkosoa Rais sio jambo baya, lakini je ukosoaji wako ni wa aina gani?

Kuna mtu anakosoa kwa kuvunja moyo, huyo anashida kwenye program ya ubongo wake. Mafaili ya ubongo wake hayana maneno ya kukosoa in positive way. Mimi nilikaa kimya kwa muda mrefu sanaa nilikua nikiwasoma tu, the way mnavyo jibaraguza. Jamani tubadilikeni maendeleo ya nchi hayana chama.

Niwashukuruni sana ndugu zangu, kwa kukamalizia, watanzania wote tuliopo mtaani tunamkubali Rais Magufuli, kwa vile alivyojitoa kupigania nchi yetu, tunaelewa sio kazi nyepesi, kubeba maono makubwa kichwani ndugu zangu ni kazi sana.

Kuna muda unakuwa na mawazo kama kweli utaweza kuyakamilisha maono yote kwa wakati. Tunamwombea Rais wetu Mungu amlinde ampiganie, atimize haja ya moyo wake ya kuliletea maendeleo Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu wabariki Watanzania,
Mungu Mbariki Rais Magufuli
Amen.
Je wajua kuwa hata wew kwa tume hii waweza pata kura zote regardless una huu upupu kichwani kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kawaida hawa waleta hizi mada huwa hawawezi kuzitetea.. Wakishaweka wanapotea, na sababu ya kushindwa kuzitetea ni kw vile sio mabandiko yao bali wanaandikiwa... Ni sehemu ya praise team iliyo empty upstairs

Jr[emoji769]
 
Kwa mjibu wa Mwl Nyerere, Upumbavu nao ni kipaji
 
Hata ingekua ni mimi ndio rais, kama tume ya uchaguzi ni yangu, na vyombo vya ulinzi ni vyangu ningekua naamua tu nipate asilimia ngapi ya kura zinazopigwa, hata asilimia 100 naweza kupata

Na wenye uchu wa madaraka ndio mara nyingi hufanya hivyo.Wanawabana wenzao ili waendelee kutawala wao tu bila kupingwa,sasa jiulize wanang'ang'ania madarakani kwa nini kama wao sio wezi na walafi wa mali za umma??
 
Hahaha hata akimfukuza Makonda bado hatoshinda, wananchi wanamtaka Baraba!

Angemuita mwenyekiti wa ccm taifa amuulize kwanini chama kimeshindwa kuisimamia serikali, akishindwa kujieleza amtumbue adharani.
 
Kuna mfululizo wa post kama hizi zitakuja hapa kwa mfuatano wa bandika bandua kwa ID tofauti tofauti lakini mode of writing ikiwa inafanana...

Jr[emoji769]
Angalia hoja na kuichambua acha mapovu!
 
Atapata kura zote au anatamani apate kura zote? Aweke tume huru ya uchaguzi kisha tuone hizo kura zote.
Mmebaki kulalamika tu kwenye mitandao hakuna hoja za maana!
 
Mmebaki kulalamika tu kwenye mitandao hakuna hoja za maana!
Hiiiiiiiiii.
tapatalk_1577999380187.jpeg


dodge
 
Kura za Dr Magufuli kwa mwaka huu wa uchaguzi hazitahesabika uhakika ni kwamba atapata 98% za kura zote.asante kwa kushiriki wapinzani.
 
Kwa kawaida hawa waleta hizi mada huwa hawawezi kuzitetea.. Wakishaweka wanapotea, na sababu ya kushindwa kuzitetea ni kw vile sio mabandiko yao bali wanaandikiwa... Ni sehemu ya praise team iliyo empty upstairs

Jr[emoji769]
Mkuu hiyo nimeandika mwenyewe, mimi sio mshabiki. Hebu jaribu kusoma hoja za wapinzani wa jamii forum kwenye huu uzi. Ukizisoma utaelewa nilicho kuwa nakisema kuwa akili zao zimejaa negativity, ndimi zao ni kama za simba, wanatoa maneno machafu yasio na sera ndani yake. Maneno kama hayo wewe unazani yanaweza hata kumponya mtu kweli? Zaidi zaidi ni kumkatisha tamaa. Wapinzani wajifunze kutafakari kabla ya kutoa meneno yao, hiyo ndiyo hekima mkuu. Badirikeni ndugu zangu, mtu aliye elimika anatambuliwa kwa kile anachokitoa kichwani mwake, anatambulika kwa Tabia yake.

Mkitaka mwe wapinzani wazuri jaribuni kujifunza kwa wapinzani wa mataifa yaliyo endelea kama Marekani. Hivi leo tukisema tuandikie vizazi vijavyo maneno ya mpinzani mmoja wapo kwenye vitabu, tutaandika ya naani? Ukiangalia clip za kina Martin Luther, unajifunza nini mkuu, tatizo hamtaki kujifunza jinsi ya kufanya siasa, mnaenda kwa mihemko. Mnachagua viongozi kwa mihemko, mwaka 2015, mnakumbuka mlicho tufanya? Tatizo hamwelewi mnakokwenda wala hamjui mnachotaka.
 
Back
Top Bottom