Uchaguzi 2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

Uchaguzi 2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

Sina Shida na Magufuli nina shida na watendaji wake Alikuja Makame Mbalawa Gairo akatudanganya tarehe 15/11/2019 mradi wa maji ya visima virefu vilivyo tumia Mabilioni ya pesa na Mabilioni ya nyongeza utakuwa umekamilika mpaka leo Tupo 2020 imekuwa Historia na hili analijua hataki hata kufuatilia umekwamia wapi. So sina Shida na Magufuli ni mchapakazi tatizo watendaji wake.
 
Acha Ujinga wewe, Hapo ulipo Wazazi wako wanaishi kwa umasikini mkubwa sana kule kijijin, Zahanati walienda wanaambuli Panadol pekee, Vitu kama Chai ni anasa kwao. Acha ujinga sana wewe
Wahenga wanasema ukishirikiana na dhaifu na wewe unakuwa dhaifu au ukishirikiana na professional failure you turn to na hapa Tanzania vyama vya upinzani vimeonesha kuwa ni dhaifu na failure kwa miaka mingi na jinsi jpm anavyofanya kazi tunajua nini kitatokea so tukutane tushangilie huku tukisubili shangwe huko October mwaka huu maana huu ni mwaka wa uchaguzi.

Ndio ni mwaka wa uchaguzi na ukweli ni kuwa ilani tuliyomkabidhi magufuli imesha kamilika mpaka Leo 1/1/2020 na tuone sasa ipo haja ya kukutana na kujipomgeza kwa kazi kubwa aliyofanya maana haikuwa rahisi.

Yeye ni mwanadamu yawezekana kuna sehemu alijikwa na kutukwaza Ila kwa kuwa hatukumchugua malaika ni vema sasa yukaungana naye pia kumpa kura za ndio

Kila sekta iko poa hatukufanya kosa


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina Shida na Magufuli nina shida na watendaji wake Alikuja Makame Mbalawa Gairo akatudanganya tarehe 15/11/2019 mradi wa maji ya visima virefu vilivyo tumia Mabilioni ya pesa na Mabilioni ya nyongeza utakuwa umekamilika mpaka leo Tupo 2020 imekuwa Historia na hili analijua hataki hata kufuatilia umekwamia wapi. So sina Shida na Magufuli ni mchapakazi tatizo watendaji wake.
Unamtenganishaje JPM na watendaji wake ambao wengine ni wateuzi wake? Na yeye atakuwa na tatizo na kubwa zaidi hawataki kuweka mfumo sahihi wa kiutendaji, kutwa inabaki show ya mkulu tu..
 
kweli nilikusudia kumpa ngosha kura yangu 2020 kwakuwa nilivutiwa sana na kasi yake ktk miradi ya maendeleo BUT nitamnyima kura yangu kwasabb ya kutaka kuua mfumo mzuri wa vyama vingi nchini ulioanzishwa mwaka 1993...mfumo muhimu sana unaoruhusu ukosoaji kwa yeyote aliyeko madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haisaidiii maana walikonaye ni mamilioni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakuambia kutakuwa na uchaguzi. Yale yaliyofanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa yatafanyika Tanzania nzima kwenye uchaguzi mkuu.. CCM ilianza kufanya majaribio kwenye uchaguzi mdogo wa Ubunge Korogwe 2018 ikafanikiwa, then ika apply kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ikafanikiwa. Mh rais mwenyewe alishasema by 2020 hakutakuwa na chama cha upinzani. Mbowe mwenyewe alishasema vipaumbele vyao si udiwani, ubunge au urais, bali ni uhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikimbia naona mnampango wa kukimbia na huu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina Shida na Magufuli nina shida na watendaji wake Alikuja Makame Mbalawa Gairo akatudanganya tarehe 15/11/2019 mradi wa maji ya visima virefu vilivyo tumia Mabilioni ya pesa na Mabilioni ya nyongeza utakuwa umekamilika mpaka leo Tupo 2020 imekuwa Historia na hili analijua hataki hata kufuatilia umekwamia wapi. So sina Shida na Magufuli ni mchapakazi tatizo watendaji wake.
Ule mradi soon maji yatatoka usiwe na hofu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Time huru ya uchaguzi
Equally participation of all contestants kwenye campaigns
Waanaglizi huru wa uchaguzi kutoka nje
Muda sawia wa campaigns
nakuhakikishia saa sita mchana tu ccm itakuwa imeshaaga dunia kifo Cha mende

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom