Tunaojihisi kuchoka na kitu fulani tufarijiane

Yaani haya maisha hayaeleweki eleweki saivi.

Mie mwenyewe hutamani siku moja niamke nipeleke barua ya 24 hrs resignation kazini . Ila kila nikiangalia usawa wa hali ya maisha nakuwa mdogo km piriton. Tuna kazi tunaganga njaa jee tukiziacha. Mifumo hairuhusu [emoji3064]
 
Kikubwa ni kupambana tu mpaka pumzi ya mwisho kwaajili ya watoto wetu! Wao hufurahia tu wanapotuona ndio wanaotupa nguvu ya kupambania maisha usikate tamaa jitie nguvu mtumishi mwenzangu!
Barikiwa sana mama
 
Mkuu yaani mimi ndoo nichoka zaidi yako ila pole tutafika tu mungu yupo pamoja nasi .dunia ina hii ni ngumu inatunyanyasa mpaka akili analock
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…