baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu uzinduzi utafanyika chamwino waambie waratibu za shughuri waanze maandalizi mapeeemaTena inabidi baada ya 23 sisi sisi ndo tuzinduane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu uzinduzi utafanyika chamwino waambie waratibu za shughuri waanze maandalizi mapeeemaTena inabidi baada ya 23 sisi sisi ndo tuzinduane
Haina noma mbonaIla mama katokea zenji huko vp?
NyetoNation in the name of focusingKiukweli nina zaidi ya miaka 21 na sijawahi kuwa na mahusiano, iam just focusing
JamaniBinafsi hakuna kitu sipendi Kama wanawake hii ni kwa ajili ya uchafu hasa wa kufanya Ngono
Sipendi kumuona Binadamu akiwa uchi .
Hivyo napenda Maisha ya usafi 24/7 Sana na vitu natural hivyo nyumba yangu hatokuja kulala Mwanamke
Hayo ya unajisikiaje honey ni ma drama labda Kama na wewe unapenda ma drama ila aina hiyo ya upendo wa mama ndo upendo wenyewe sasaKua single ni raha ILA shida inakuja pale ukiumwa unakosa hata wa kukwambie honey unajisikiaje[emoji849] [emoji22][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unakutana na mama tu utasikia we sabina amka unywe uji[emoji24] Tena hii chupa nikirudi nikute iko tupu[emoji849]
Wewe ni dhaifu Sana na jambo Kama hilo kwa watu Kama nyie hamtokuja kuliweza kamwe labda muanze kwa kubadilisha mawazo yenu kwakuonda mavitu negative mliyoyajaza kichwaniHaiwezekani mtu mwenye akili timamu akamaliza mwaka bill ya kungonoka.
Hata mtu asipokuwa Kwenye mahusiano lazima atanunua dada poa ama apige nyeto.
Hata mwakaMkuu, unapitisha wiki bila kutongozwa?
Oops! Naomba nikutongoze mkuu, mwaka bila kutongozwa mbona mda mrefu sana. Na wakati huenda bado wewe mdogo kiumri, kutongozwa instakiwa kuwa almost daily, kuombwa namba almost daily, kuombwa out pia.Hata mwaka
Mbona una imani haba na mimi😅Wewe una siku ngapi tangu haujafanya? Maana Nina imani hata wiki mbili hazijafika. [emoji28]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Au sio [emoji23]Oops! Naomba nikutongoze mkuu, mwaka bila kutongozwa mbona mda mrefu sana. Na wakati huenda bado wewe mdogo kiumri, kutongozwa instakiwa kuwa almost daily, kuombwa namba almost daily, kuombwa out pia.
Au huenda unajiweka high class sana hadi vidume vinakuogopa?
This also depends. ..km mwenzio hayupo you can't but akiwepo lazima utamfikiria..No at all. You are the master of your brain. Sex is not a vital need . That's why life goes on even without sex. I think one must be verry very intelligent to live without sex. Iam sure iam the one. Unajua ninashangaa mtu anasema hawezi ishi bila sex. Ninashangaa. Kama una watoto wadogo ,upo.busy akili kuwaza kusolve how watoto utawasupport hadi wawe indépendant siku moja. Sioni kabisa nafasi ya kuwaza ngono. Wanaume wengi ni malaya na waongo.Kuna Ukimwi how uharibu future ya wanao kisa sex ?????????
Mm ndo sijawahi kuwa na mahusiano serious kwa kweli lakini habar ya kuburudika jmn mwezi huwa hauishiNgoja tujipongeze mwaka unaisha hivihivi kama utani ujawahi fumania naniliu hata mara moja wala kuwa kwenye mahusiano
Natumai mwakani kutanoga zaidi kwetu Neema itatuangazia 😔😊
🙄🤐🙌Mbona una imani haba na mimi😅
Nina mwaka na miezi kadhaa now sijui ladha ya hiyo kitu