Tunaomaliza mwaka bila sex wala mahusiano tujuane

Tunaomaliza mwaka bila sex wala mahusiano tujuane

Maisha bila sex ni raha sana.No worries. Halafu maskini tu ndo hupagawa na sex. Team Sologamy na asexual gonga thanks. [emoji3059][emoji7][emoji847]
The statements you mentioned are never true. Celibacy inaside effects kwa mwamwanaume na kwa mwanamke, ukiacha social side effects ambayo hii hutokea kama hujafanya sex kwamuda mrefu bila kuridhia na sikwamba ulitaka mwenyewe. Kuna side effects kwenye medical side. Ikiwemo hormonal imbalances kwa wanawake, kinga kushuka mwilini, maumivu ya period kupanda, matatizo ya moyo kwasababu hormone za mwanamke kwakiasi chake huathiri moyo na kwa mwanaume ni tezi dume kwakiasi kikubwa, stress and anxiety pamoja na kushuka confidence kwasana. Kuna kuacha kwalengo maalumu na unamuda wake ila kuacha pasipo lengo au kwa muda maalumu kutakuletea shida kubwa mno. Hormone za kike na kiume zinaeffect kubwa sana kwenye ubongo na moyo.
 
The statements you mentioned are never true. Celibacy inaside effects kwa mwamwanaume na kwa mwanamke, ukiacha social side effects ambayo hii hutokea kama hujafanya sex kwamuda mrefu bila kuridhia na sikwamba ulitaka mwenyewe. Kuna side effects kwenye medical side. Ikiwemo hormonal imbalances kwa wanawake, kinga kushuka mwilini, maumivu ya period kupanda, matatizo ya moyo kwasababu hormone za mwanamke kwakiasi chake huathiri moyo na kwa mwanaume ni tezi dume kwakiasi kikubwa, stress and anxiety pamoja na kushuka confidence kwasana. Kuna kuacha kwalengo maalumu na unamuda wake ila kuacha pasipo lengo au kwa muda maalumu kutakuletea shida kubwa mno. Hormone za kike na kiume zinaeffect kubwa sana kwenye ubongo na moyo.
Mbona unatutisha
 
Sio kutishana, bali kila function ndani ya mwili wa binadamu imewekwa kwa lengo maalumu. Ndio maana ndoa ikatengenezwa ili kuepukana na mambo ya ngono zembe. Kwasababu ndani ya ndoa unapata regular sex and affection bila kufanya maovu yatokanayo na uzinzi. Ila mwili unaphysiologia yake, ukiubadilisha utaadapt to its changes ila mwisho wa siku it will come na it's consequences maana mwili wa binadamu viungo vyake havipo kwamfumo uutakao wewe. Ndio maana nchi kama ulaya, magonjwa ya moyo, tezi dume na stress na anxiety vipo kwa high percentage. Kwasababu kule kila mtu akaamua kuwa celibacy na ndoa kuwa mtafaruku basi consequences do come. Obesity ikiwa indicator kubwa ya cardiovascular diseases na ushoga kuwa indicator kubwa ya hormonal imbalances kwa wanaume maana mapungufu ya testosterone huleta low libido na sex drive na mwishowe the less it is, the more the female hormones huongezeka. Maana kila binadamu hizo hormones anazo hata mwanamke testosterone anaproduce ila in very less amount. Kwamwanamke mimba huanza kuwa shida kupatikanika maana fertility hushuka. Risk ya Tezi dume hupunguzwa kwa kuzitoa semen not regularly ila in sufficient amount, lasivyo huwezi kuepuka hilo tatizo. ntazana ntazana
 
Unapata faida gn au una matatizo ya sirini?

Mwanume timamu hawezi leta hii mada hapa maana ataonekana mjinga.
Watu wa namba hiyo ndio wanakuwa mashoga mwisho wa siku. Tumhurumie tu
 
Back
Top Bottom