Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Unapata faida gn au una matatizo ya sirini?Ngoja tujipongeze mwaka unaisha hivihivi kama utani ujawahi fumania naniliu hata mara moja wala kuwa kwenye mahusiano
Natumai mwakani kutanoga zaidi kwetu Neema itatuangazia [emoji17][emoji4]
Mwanume timamu hawezi leta hii mada hapa maana ataonekana mjinga.