DOKEZO Tunaomba Msaada: Tumedhulumiwa na LE MARAHEB RESTAURANT & more mishahara yetu na kubambikiwa kesi ya jinai na mwajiri wetu mwarabu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nitashukuru sana Mkuu. Tunaumia sana na huu Unyanyasi dhidi yetu, cha ajabu hata pale Mahakamani Kinondoni wanatuhurumia ila hawana Namna ya Kutusaidia Kumzuia Unyanyasaji wake
Nyie mnaenda kimwili mnafikiri mtasaidiwa?
Mnafikiri na wenzenu wanaenda kimwili km nyie? Ukiona anajiamini na Yuko nchi ya watu ujue kipo anachojivunia nyuma yake
 
Kweli kabisa
Eti ndo tabia Yake halafu hamrekodi kwann?
 
Edit Uzi wako juu pale weka haya majina
 
Hiyo kesi yenu ya CMA madai yenu kwenye ile fomu ya kufungulia nadai ya migogoro ya kazi mliyaweka vizuri?

Mliachishwa kazi tarehe ngapi na nyinyi mlifungua mgogoro CMA tarehe ngapi? maana unfair termination mgogoro unatakiwa kufunguliwa ndani ya siku 30 toka mgogoro ulipojitokeza.

Kwenye Fomu ya maombi mliomba stahiki zipi? Kazini mmekaa kwa muda gani? malipo mlikuwa mnalipwaje, cash au benki? Mna vitambulisho vya kazi?

Hapo CMA kama mambo yenu kwenye fomu yamekaa vizuri stahiki zenu mnaweza kuzipata. Haki Inaweza kuchelewa kwa vile mahakamani mambo huchukua muda, but kama ni haki yenu mtaipata tu.

USHAURI:
Kwa kesi zote mbili,Hiyo rufaa ya jinai na Labour case tafuteni wakili awasimamie, Laymen mnaweza msijue namna ya kupangilia kesi yenu vyema na mkaiharibu kwa kushindwa kusema mambo ya msingi.

Hasa hiyo kesi yenu ya CMA kama hamuwezi kuweka wakili basi mtafuteni wakili awe anawashauri kila mkienda mahakamani mkaseme nini na kila hatua mfanye nini..!

Ningejua cha kushauri zaidi endapo kama nongeona namna mlivyoweka madai yenu kwenye fomu ya CMA.
 
Au SA, Nigeria....
Thubutu yake
 
Umenena vyema , humu jf kuna network ya hatari hata ukitaka appointment wa mawaziri tunakusaidia sasa unasema kwa mafumbo ulitarajia tukuone serious ????
 
Magufuli hapa ndipo tu atakumbukwa hakukuwa na watu wa aina hii yaani wa kuvimbishiana misuli hasa kitaani.
 
Si haoni mwigulu jana kaja kutetea kiwa hana magari 60 na kaalika mawaziri wake kumtetea na kutetea tozo. Kimsingi JF ni kubwa sana na hata mama anapitia humu.
""UTANIJUA MIMI NI NANI NA NITAKUNYOOSHA"AMEFUFUKA KATIKA AWAMU YA SITA MH.SAMIA TUNAKUOMBA ZUIA KIRUSI HIKI NA KIONDOSHE KIMWAGIE SUMU KIFE NI HATARI KWA HAKI ZA WALIO WENGI.
Nina hakika huyo kubaaz anatumia fedha nyingi Sana kuhonga,wasio waaminifu badala ya kujazia ili alipe fedha za watanzania hawa wanyonge!#wayemen hovyo Sana na dhulmat.
 

Sasa jinai ipo wapi? Hamjielewi! Elimu elimu elimu
 

Hivi Amza bado upo hai? Si ulikufa pale sarenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…