Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Huo usalama wa taifa letu sasaTundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo usalama wa taifa letu sasaTundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Mbona Lisu anamshambulia marehemu na kufurahia kifo chake?Mkuu johnthebaptist:
Unafananishaje UHAI wa MTU na Mali.
Chukua Sekunde chache na ujaribu kutafakari kipi bora kwako au Kwa Familia yako, ROHO au MALI?
Kinyongo huleta chuki... na chuki huleta hasira... na hasira huleta kisasi... na kisasi huleta dhambi... na dhambi hukupeleka jahanamuKwani kuwa na kinyongo ni dhambi?
Lisu analilia mafao ya ubunge tu!Billicanas unafananisha na uhai wa mtu?
Kuna wakati nasoma comments zako nakuona kama mwanaccm anayejitambua kumbe nawe pumba kama wengine.Uhsi na bar wapi na wapi?Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Ni haki yake kwanini wasome?Lisu analilia mafao ya ubunge tu!
Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Lisu analilia mafao ya ubunge aliyodhulumiwa na Ndugai!Angepigwa hivyo baba ako ungeongea huu ujinga?
toa facts sio porojo! usalama kivipi?Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
sawa ni haki yake kulia vip mnamuita mnafiki??Lisu analilia mafao ya ubunge aliyodhulumiwa na Ndugai!
Hivi chuki zako kwa JPM hadi lini? UnachoshaWasalaam wapendwa!
(Mods mniwie radhi msiunganishe uzi huu na ziingine tupeane ukweli pengine tutapunguza chuki baina yetu na kusahau yaliyopita tugange yajayo)
Kila mara humu mtu ukisoma vizuri comments za kila mada huwezi kupita bila kukutana na neno UNAFKI. Hili neno linasemwa kulingana na sisi wenyewe tulivyo na vitabia vyetu.
Hivi Tundu Lissu kabla haijapigwa risasi akachungulia kaburi na kurudi tuwahi kusikia akiitwa msaliti na nani?
Hebu vaa viatu vyake chukulia kua wewe ni tundu Lissu,
1.Upigwe risasi 16 saa 7 mchana kweupe na mpaka leo hii wasijulikane waliotenda tukio hilo
2.Chukulia wewe ndio Tundu Lissu unyimwe gharama za matibabu yako kama mbunge bila sababu yeyote ya msingi
3.Chukulia wewe ndio Tundu Lissu mpaka leo unyimwe nafsi yako ya ubunge na stahiki ziingine
4.Chukulia hii wewe ni Tundu Lissu unaporwa ubunge wako hadharani bila sababu ya msingi
6.Chukulia wewe ndio yeye unapata matatizo watu wanazuiwa hata kukusanyika kukuombea kwa Mola upone.
6.Chukulia wewe ni Tundu Lissu unaarifiwa na vyanzo vya ndani ya mfumo kama asemavyo yeye kua ilitolewa amri kua shughuli ilitakiwa imalizike mapema kisha apumzishwe haraka kijijini kwao mapema bila kuagwa, hivi kwa maneno haya upendo utoke wapi?
Tunaomwita Lissu mtumwa wa Mabeberu hebu mfikirieni na yeye kwa vyote aliyofikia nayo. Mbona hatukumwita msaliti kabla? Hivi yeye si binadamu na asinune wala kuchukua ana moyo wa chuma?
Mbona hukusema hayo kabla haijapigwa risasi?Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Wewe chok&o husifananishe mali na haki ya kuishi. Mali zinatafutwa,uhai hautafutwi. Magu kafa kama alivyokufa baba yangu tu, kulia na kuudhunika ni matakwa ya binadamu mwenyewe. Kama binadamu aliishi kwa upanga haoa dunia, munataka tusema aliishi kama malaika?Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Mbwiga yule boss wenu Lisu analilia mafao ya ubunge!Wewe chok&o husifananishe mali na haki ya kuishi. Mali zinatafutwa,uhai hautafutwi. Magu kafa kama alivyokufa baba yangu tu, kulia na kuudhunika ni matakwa ya binadamu mwenyewe. Kama binadamu aliishi kwa upanga haoa dunia,munataka tusema aliishi kama malaika??