barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Dogo panua ubongo wako...Kwanini yupo mtaani mpaka sasa? Yeye ni jini haonekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo panua ubongo wako...Kwanini yupo mtaani mpaka sasa? Yeye ni jini haonekani?
Sio vibaya maana ni haki yake.N
Mbwiga yule boss wenu Lisu analilia mafao ya ubunge!
Tukupige risasi halafu ukae kimya.Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Lete clip inayothibitisha hayo.Labda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.
Hicho kinyongo bado ni kidogo sana achinje ng'ombe 1000 atuarike twende tukasherekea , mbona Abood kachija watatu hamsemi?Mbona tundu alisema kipindi cha kampeni kwamba amewasamehe wote watesi wake ila nikiona twit zake kule Twitter yule bwana bado anakinyongo.
Kuna mambo hapa duniani hufanyika ni magumu na kila unapoyaelezea unaweza kuwa unatoa machozi na kulia, Lakini cha ajabu, yakisha kutendeka hayabadiriki tena hata ukivimba na kuvimba Kwa uchungu ukiekezea,Wasalaam wapendwa!
Kila mara humu mtu ukisoma vizuri comments za kila mada huwezi kupita bila kukutana na neno UNAFKI. Hili neno linasemwa kulingana na sisi wenyewe tulivyo na vitabia vyetu.
Hivi Tundu Lissu kabla haijapigwa risasi akachungulia kaburi na kurudi tuwahi kusikia akiitwa msaliti na nani?
Hebu vaa viatu vyake chukulia kua wewe ni tundu Lissu,u
1. Upigwe risasi 16 saa 7 mchana kweupe na mpaka leo hii wasijulikane waliotenda tukio hilo
2. Chukulia wewe ndio Tundu Lissu unyimwe gharama za matibabu yako kama mbunge bila sababu yeyote ya msingi
3. Chukulia wewe ndio Tundu Lissu mpaka leo unyimwe nafsi yako ya ubunge na stahiki ziingine
4. Chukulia hii wewe ni Tundu Lissu unaporwa ubunge wako hadharani bila sababu ya msingi
6. Chukulia wewe ndio yeye unapata matatizo watu wanazuiwa hata kukusanyika kukuombea kwa Mola upone
6. Chukulia wewe ni Tundu Lissu unaarifiwa na vyanzo vya ndani ya mfumo kama asemavyo yeye kua ilitolewa amri kua shughuli ilitakiwa imalizike mapema kisha apumzishwe haraka kijijini kwao mapema bila kuagwa, hivi kwa maneno haya upendo utoke wapi?
Tunaomwita Lissu mtumwa wa Mabeberu hebu mfikirieni na yeye kwa vyote aliyofikia nayo. Mbona hatukumwita msaliti kabla? Hivi yeye si binadamu na asinune wala kuchukua ana moyo wa chuma?
Ndiye director WA hayo na Ndiye aliyemnyima na kumpora ubunge wake wacha afe tu bado sabufa.Sasa kwanini Lisu anamshupalia mwendazake?
Ipo siku hawa watu waliofanya uhalifu huu watauweka wazi na hatua zitachukuliwa. Muda ni mwalimu sana hata ipite miaka 20 ukweli utawekwa wazi.View attachment 1734641
Ilikuwa azikwe fastafasta na ni marufuku kuomboleza
Huenda Waziri Mkuu angetudanganya na kutuambia kuwa Lissu kajishambulia kwa risasi
Msaliti yoyote wa nchi haachwi, iwe tanzania, urusi, marekani.Labda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.
Hivi watetezi wa Hayati Jiwe na CCM yenu hamfahamu tofauti ya Mali na Uhai/Utu wa wanadamu wengine(Wasiowasujudia)?Billicanas na uhai wa MTU vinaulinganifu wa maumivu?Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Hata ukitukana inasaidia nini, wakati mmeshapoteza. Tulieni tu endeleeni na Sera yenu ya mitano tena, hamkujua wakati mnapanga mitano tena ,Mungu na yeye anapanga yake.N
Mbwiga yule boss wenu Lisu analilia mafao ya ubunge!
Mahaba yamekuzidi wewe, dunia nzima inajua Tundu alisimama na Acacia.Lete clip inayothibitisha hayo.
Unapaswa kujua kuwa hakuna kiongozi aliyepigana vita vya kiuchumi akafanikiwa na akabaki salama. Kiburi, dharau ,kujiona , kimewafikisha hapaMsaliti yoyote wa nchi haachwi, iwe tanzania, urusi, marekani.
Kuna mipaka ukivuka uachwi tena risasi moja tu wanakuondoa, hata kwenye bible mfalme Suleman kuna watu aliwawekea mipaka na kuna watu aliwaondoa.
Yaani wewe ni mwendo wa mapambio tu,hivi unacheo gani huko lumumbaMbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Hivi Abood alifanyiwa nini na marehemu mbona alimpa Ubunge?Hicho kinyongo bado ni kidogo sana achinje ng'ombe 1000 atuarike twende tukasherekea , mbona Abood kachija watatu hamsemi?
Duh! Ila aliyofanyiwa Mbowe kimsingi ni mabaya sana kupita Maelezo. Ni zaidi ya siasa. Sijui wale walioshiriki wana hali gani nafsini mwao.Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Hawa kazi yao ni kuimba mapambio,wanatanguliza matumbo mbele kuliko utu,kwa aliyofanyiwa ni wazi anauchungu sana na kuongea inamsaidia kupata ahueni,Mkuu johnthebaptist:
Unafananishaje UHAI wa MTU na Mali.
Chukua Sekunde chache na ujaribu kutafakari kipi bora kwako au Kwa Familia yako, ROHO au MALI?
Lissu aliyapigania hayo madini enzi za Mh.Mkapa wakati wa kuvutia wawekezaji.Aliitwa msaliti asiyelitakia Taifa lake mema kwa kupinga uwekezaji.Labda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.