Moe Szyslak
JF-Expert Member
- Nov 6, 2016
- 354
- 702
Lisu ni mwanasheria.Labda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.
Kazi ya sheria ni kumtetea mteja wake.
Kwani serikali haikuwa na mawakili katika hizo kesi??
Hiyo mikataba mibovu ya madini waliyoisaini ni kina nani !?
Ni serikali ya chama gani iliyosaini hiyo mikataba !?
Si serikali ya mbogamboga ndio waliruhusu mawaziri kwenda dubai kusaini mikataba ambayo ina NDA(Non disclosure agreements) ndani yake.
NB: usimlaumu Lisu kwa udhaifu na incompetence za mawakili wa serikali, kama walizidiwa hoja ni uzembe wao wa kutoelewa vizuri kazi yao. Na ilaumu serikali kwa kusaini mikataba mibovu na kuficha kwa wananchi.