Mkwara mbuziTundu Lisu alivuna alichopanda na ataendelela kuvuna anachopanda sasa!!
Yuko "salama" mikononi mwa mabeberu kama jinsi mbuzi anavyojiona yuko salama kwenye banda la mfugaji. Siku ya sikukuu ikifika na mfugaji anahitaji kitoweo ndipo mbuzi atakapogundua kuwa kumbe aliingia mkenge!!
Hata Osama bin Laden kuna wakati alikuwa anajiona salama sana katika mikono ya mabeberu!! Kilichotokea wote mnakifahamu!! Ni suala la muda tu!!
Shenzi zenu wote.Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Watu wajinga Kama wewe mpo wachache mno.Huwezi jua kwa nini mipango ya kumuua ilishindikana.Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Mbona tundu alisema kipindi cha kampeni kwamba amewasamehe wote watesi wake ila nikiona twit zake kule Twitter yule bwana bado anakinyongo.
You know nothing.Labda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.
Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Kama unaweza kumwandikia mbwa akakujibu basi wewe nawe ni mbwa tuNyamaza M.bwa wewe!
Nafuu mie mjinga. Wewe ni lipumbavu pro max yaani.Watu wajinga Kama wewe mpo wachache mno.Huwezi jua kwa nini mipango ya kumuua ilishindikana.
God is super-extra-great.
Afadhali mie nyang'au.. wee kiroboto cha nchi.Wewe ni taga Kama mataga mengine tu acha kujificha kwenye shamba la karanga nyang'au wewe
sasa anavoongea ivo mwisho wa yote atapata nini,au akiongea ivo ndo anajiskia amani,just stupidenessKwa hali aliyopitia Tundu Lissu hata aongee namna gani yuko sahihi tu. Hayo mambo ya kusema ni msaliti, mara katumwa na mabeberu sio vyema kabisa.
Ifike tu hatua tukubali kuwa wenye mamlaka wamemfanyia mambo sio.
Hata angekuwa nani asingekaa kimya kwa madhila aliyopitia
Angepigwa hivyo baba ako ungeongea huu ujinga?
Binadamu mwenzanguwewe lissu baba ako kwan?
Binadamu mwenzangu
Naye alipigwa risasi 32?ko magu sio binadamu
32 tena si ni 16 mkuu,kupigwa risasi kawaida mbona ata 50 cent alipigiwa risasi 9 tena close range akaponaNaye alipigwa risasi 32?
Mkuu hebu lambwa na wewe hata 2 tu32 tena si ni 16 mkuu,kupigwa risasi kawaida mbona ata 50 cent alipigiwa risasi 9 tena close range akapona
Upingwe ukiwa kazini na unyimwe matibabu pamoja na haki zako zote32 tena si ni 16 mkuu,kupigwa risasi kawaida mbona ata 50 cent alipigiwa risasi 9 tena close range akapona
Stupid ni kusema katumwa na mabeberu wakati yeye anaeleza uhalisia wa aliyopitia.sasa anavoongea ivo mwisho wa yote atapata nini,au akiongea ivo ndo anajiskia amani,just stupideness