House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

ile ya pale Kimara Baruti???
Hii ya 500k angezimia kabisa
2019-06-01-11-20-21-182.jpeg
 
Vyumba viwili 250[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda apartment kkoo pale mamaee .
Kariakoo sehemu kama iyo andaa 800k Ku panda juu; bei ni reasonable; alafu sikuhizi riverside pamekuwa ushuwani interchange ya magufuli inafika mpaka mavarandani mwa wakazi
 
Bei kubwa sana maeneo hayo wewe.
Halafu wewe ni dalali kabisa unajifanya huna experience!!!

Tazama nyumba yenyewe, quality yake local sana. Cheki madirisha!!
So kwa hiyo bei na nyumba ilivyo na sehemu iliyopo naona poa, kama ni vyumba viwili kimoja master sebule na jiko,
Ila mfano mtu anatafuta standard ya nyumba ninayoishi na maeneo ninayoishi kwa bei hata ya 300k wala sijisumbui kumtafutia.
 
Waambie mkuu mana wamekaa kulia lia tu.
Tena ubungo apo ni mjini kabisa bei iko reasonable kabisa; Mimi mwisho wa mwezi huu wac6 kodi inaisha.nimepanga kwenda pembezoni kabisa uko kuanzia tegeta boko bunju mpaka mbweni kutafuta sehemu kama iyo kwa budget ya 200k _ 250.( chumba masta sebule, chumba jiko, public toilet. River side apo mjini kabisa; namafuriko huwa hakuna
 
Mmh!! Kumbe dalali Tunzo unaonekana una pesa, maisha mazuri. Nakudharaugu bure!!
Una mke??
Hahaa mke bado ngoja nimalize kwanza mjengo wangu, nihamie kwangu, Pia namsubiria mdogo wake mama debora
 
Salaam,
Nyumba inapatikana UKONGA (kitunda)
Umbali wa km 5 kutoka nyerere road
MAELEZO
nyumba ina vyumba vitatu (1self contained)
Dinning room, seating room, kitchen, store, & public toilet.
Eneo lake ni sqm 480
Eneo tayari limeshapimwa.
Maji na umeme tayari
With Tiles & gypsums
Price 25m

Call: 0756 832833



IMG-20190528-WA0034.jpeg
IMG-20190528-WA0038.jpeg
IMG-20190528-WA0033.jpeg
IMG-20190528-WA0031.jpeg
IMG-20190528-WA0037.jpeg
IMG-20190528-WA0035.jpeg
 
Salaam,
Nyumba inapatikana UKONGA (kitunda)
Umbali wa km 5 kutoka nyerere road
MAELEZO
nyumba ina vyumba vitatu (1self contained)
Dinning room, seating room, kitchen, store, & public toilet.
Eneo lake ni sqm 520
Eneo tayari limeshapimwa.
Maji na umeme tayari
With Tiles & gypsums
Price 25m

Call: 0756 832833



View attachment 1121698View attachment 1121699View attachment 1121700View attachment 1121701View attachment 1121703View attachment 1121705
Wa Dar changamkieni fursa hyo
 
Tehe tehe bei karibu na bure. Changamkia fursa kwa wenye nazo.
 
Back
Top Bottom