Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Alafu hiyo virus inatokana na kula nyani Marburg ilitokea kwenye nyani wa labs huko Ujerumani mji wa Marburg na Ebola ilitokea kwanza congo magonjwa hayo yote hutokana na nyani usile hiyo kitu na kaa mbali na nyani
 
Hapa unapoteza point, nenda kasome IQA na EQA. Rudi uje uone uliyoandika. Yale majibu hayakuwa kamili kwa mujibu wa taratibu za qualitu assessment. Kajisomee, usibebe mambonya wanasiasa. PI alitoa boko.
 
Nadhani umepotea sasa, tafakari kwanza.

Si kuwa umetambua kudanganya mjifunze kukumbuka na huwezi kuwadanganya watu wote siku zote?

Walisema waswahili fumbo fumbieni wajinga.
 
Kasome misitu inayozunguka upande wa Uganda na Bukoba na possibility za kuleta HAEMORRHAGIC FEVER kwa kuzingatia mienendo ya maisha ya watu na mwingiliano wake.
 
Hapa unapoteza point, nenda kasome IQA na EQA. Rudi uje uone uliyoandika. Yale majibu hayakuwa kamili kwa mujibu wa taratibu za qualitu assessment. Kajisomee, usibebe mambonya wanasiasa. PI alitoa boko.
Umeamua kuandika ya kwako. Si Kuna maswali mle mbona hujibu?

Huu ugonjwa unaaminika kutokea Uganda siyo?
 
Kasome misitu inayozunguka upande wa Uganda na Bukoba na possibility za kuleta HAEMORRHAGIC FEVER kwa kuzingatia mienendo ya maisha ya watu na mwingiliano wake.
Kulikoni hujibu maswali ndugu?
 
Si kuwa umetambua kudanganya mjifunze kukumbuka na huwezi kuwadanganya watu wote siku zote?

Walisema waswahili fumbo fumbieni wajinga.
Utasema hayo ukiwa na ushahidi si hisia na hapa tunatoka kwenye fact na kuanza maneno ya kanga.

Ndo maana nasema pumzika utafakari ili uje na mabo ya msingi na yenye kusaidia jamii.
 
Heee.
Kumbe hiki wanachokiita Marburg ni Ebola?
Acheni utani bandugu mnamaanishsha ebola kama ebola yenyewe?
 
Utasema hayo ukiwa na ushahidi si hisia na hapa tunatoka kwenye fact na kuanza maneno ya kanga.

Ndo maana nasema pumzika utafakari ili uje na mabo ya msingi na yenye kusaidia jamii.

Kama majibu huna ustaarabu si kusema majibu huna?

Nakuuliza tena:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Majibu kwa matatu hayo itapendeza zaidi.

Cc: Humilis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…