Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Huo ni umri wa risk kubwa ya magonjwa yasiyombukiza ndio yanapoanzia kwa hiyo sishangai hao watu kufa, ni nyakati zao tu hakuna lingine, Magu si huyu tumemzika, Kijazi, Mfugale n.k.

Ila unashangaa Corona kuwapitia. Umesikika mkuu.
 
Upo sahihi! Mungu atusaidie kwakweli
 

Amen
 
Huyo jamaa ni mjinga achana nae!
 
Sumry amefariki??? Corona au
 
mzee Asas ndo huyo mmiliki wa Sasa au?? wenye taarifa he wekeni sawa
 
Inasikitisha sana.

Charles Keenja na mkewe walifariki 5 Aug. Pia si matajiri vibopa kama hawa.

Consistently siku 7, leo inclusive zimezingatiwa mtu wangu.
huyo Charles alikua kiongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…